GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Na 'Uchungu' zaidi unakuja pale ambapo GENTAMYCINE naweza Kuingia Kenya kwa njia za Panya na nikakaa huko bila 'Kukamatwa' lakini wengine 24/7 huwa 'wanatuaminisha' kuwa ni Wanasiasa 'Wajanja' lakini wakiingia mitaa ya 'Kaijia Dodo' wanakamatwa kama 'Kuku' na kurudishwa walikokumbilia baada ya Kukuchokoza.
Bora ya hata Wanasiasa wengine wao 'wakiichokoza' tu Dodoma wana uhakika wa Kupokelewa na hata Kulala Ofisi za Kuhifadhia 'Pasipoti' za kwenda Jiji la Berlin na kutokea hapo Berlin basi uwezekano wa kwenda Jijini Brussels unakuwa rahisi. Ila Watu wa Dodoma wanajua kweli 'Kuwanyoosha' wanaotaka kusafiri 'Kiuwoga' kwenda Berlin na Nairobi au hata 'Kaijia Dodo' tu hapo.
Bora ya hata Wanasiasa wengine wao 'wakiichokoza' tu Dodoma wana uhakika wa Kupokelewa na hata Kulala Ofisi za Kuhifadhia 'Pasipoti' za kwenda Jiji la Berlin na kutokea hapo Berlin basi uwezekano wa kwenda Jijini Brussels unakuwa rahisi. Ila Watu wa Dodoma wanajua kweli 'Kuwanyoosha' wanaotaka kusafiri 'Kiuwoga' kwenda Berlin na Nairobi au hata 'Kaijia Dodo' tu hapo.