Matusi gani hayo? kwahiyo siku hizi ukosoaji hauna tofauti na matusi?Wanajinyanyasa wao wenyewe kwa dhambi matusi na kejeri.
Wanajiona wao ni first class citizens
Kwa mujibu wa mleta mada sijaona mtu akiuwawa zaidi ya kusema watu wamekamatwa wakiwa wanajaribu kutoroka.
Kutokuona ww haimaanishi watu hawajauwawa au kuuwawa.
We bwana yako anakula viazi dodoma sio..?Mbulu kenge wana bahati walipoambiwa waandamane wakagoma,(Ahsante Mungu,malaika wa bahati alikuwa upande wao).
Bila hivyo wengekuwa jela,ma bwana zao wana kula kiyoyozi ubalozini.
Na kwa nini tumalizane sisi kwa sisi.. (chanzo nini?Hao wapinzani kwa taarifa nilizozipata.. wamechoma Nyumba ya Diwani wa CCM.. na kuua watu.. ila wakifanyiwa wao.. ndio maneno yanafika USA
Chanzo ni Viwongoz wendawazimu.. hasahasa hao Chadema kwa kuwa Hela hawana... Naona wanatumia Nguvu badala ya AkiliNa kwa nini tumalizane sisi kwa sisi.. (chanzo nini?
Una tatizo katika fikra yako.Na 'Uchungu' zaidi unakuja pale ambapo GENTAMYCINE naweza Kuingia Kenya kwa njia za Panya na nikakaa huko bila 'Kukamatwa' lakini wengine 24/7 huwa 'wanatuaminisha' kuwa ni Wanasiasa 'Wajanja' lakini wakiingia mitaa ya 'Kaijia Dodo' wanakamatwa kama 'Kuku' na kurudishwa walikokumbilia baada ya Kukuchokoza.
Bora ya hata Wanasiasa wengine wao 'wakiichokoza' tu Dodoma wana uhakika wa Kupokelewa na hata Kulala Ofisi za Kuhifadhia 'Pasipoti' za kwenda Jiji la Berlin na kutokea hapo Berlin basi uwezekano wa kwenda Jijini Brussels unakuwa rahisi. Ila Watu wa Dodoma wanajua kweli 'Kuwanyoosha' wanaotaka kusafiri 'Kiuwoga' kwenda Berlin na Nairobi au hata 'Kaijia Dodo' tu hapo.
SUBIRI MWAKANI SIO MBALI ....NA WA CCM WANAOJIFANYA WAJANJA TAYARI KINA PLL WASHAANDAA MAJINA YANASUBIRI KUINGIZWA KWENYE RED BOOK .............................hapo ndipo kauli ya wanafalsafa itatimia ...Na 'Uchungu' zaidi unakuja pale ambapo GENTAMYCINE naweza Kuingia Kenya kwa njia za Panya na nikakaa huko bila 'Kukamatwa' lakini wengine 24/7 huwa 'wanatuaminisha' kuwa ni Wanasiasa 'Wajanja' lakini wakiingia mitaa ya 'Kaijia Dodo' wanakamatwa kama 'Kuku' na kurudishwa walikokumbilia baada ya Kukuchokoza.
Bora ya hata Wanasiasa wengine wao 'wakiichokoza' tu Dodoma wana uhakika wa Kupokelewa na hata Kulala Ofisi za Kuhifadhia 'Pasipoti' za kwenda Jiji la Berlin na kutokea hapo Berlin basi uwezekano wa kwenda Jijini Brussels unakuwa rahisi. Ila Watu wa Dodoma wanajua kweli 'Kuwanyoosha' wanaotaka kusafiri 'Kiuwoga' kwenda Berlin na Nairobi au hata 'Kaijia Dodo' tu hapo.
Hao ccm wenye hela mbona wanaua watu kisa madarakaChanzo ni Viwongoz wendawazimu.. hasahasa hao Chadema kwa kuwa Hela hawana... Naona wanatumia Nguvu badala ya Akili