KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Jamani watanzania wenzangu napata wakati mgumu sana ninapozisikiliza hotuba za hayati mwl.J.K.Nyerere.Mawazo yangu huenda mbali sana nakujikuta najawa na hasira ninavyoona nchi inavyopelekwa.Naongea nanyi viongozi mlio madarakani hivi ni nani kati yenu anaweza kusimama na kusema mimi ni msafi sijihusishi na vitendo vyovyote vibaya katika nafasi niliyonayo mliyonipa ya kuwaongoza.Na jiulize ni nani kati yenu ambaye ikitokea akatangulia mbele za haki machozi ya watanzania walio wengi watatiririkwa na machozi na kuwalilia kama ilivyo kwa mwl,kama si watu walio ndani ya familia tuu.Nawasilisha.