uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,314
- 25,501
Enyi wana CCM Arusha, kama mna mkono kwa hawa viongozi wanaohama Chadema, maana ni tetesi, ninawahakikishia manapoteza rasilimali zenu bila sababu, Mimi, pamoja na watu wenye akili timamu ninaowafaham, hatukuwachagua hawa madiwani sababu:
- Wana sura nzuri sana.
- Wanajua Siasa au kuzungumza sana.
- Ni wema sana na waadilifu.
Tuliwachagua sababu tumeichoka CCM na dhuluma zake, sasa wakihama chama, hata mkiwasimamisha tena kugombea, sidhani kama watakuwa na mvuto ule ule kwa watu .... sijui labda wawe chachu ya ku mobolize watu wao, ila kwenye sanduku ni siri ya mpiga kura?????
Hemu mashindano yawe fair Jamani, ndo inapendeza!
- Wana sura nzuri sana.
- Wanajua Siasa au kuzungumza sana.
- Ni wema sana na waadilifu.
Tuliwachagua sababu tumeichoka CCM na dhuluma zake, sasa wakihama chama, hata mkiwasimamisha tena kugombea, sidhani kama watakuwa na mvuto ule ule kwa watu .... sijui labda wawe chachu ya ku mobolize watu wao, ila kwenye sanduku ni siri ya mpiga kura?????
Hemu mashindano yawe fair Jamani, ndo inapendeza!