Ewaaaaaa! Hicho hicho, ila huko pa kutoa papuchi hapana kwakweli.
its not a big deal.....
nikiwa kama mchungaji, ninafuta iyo mada ktk ulimwengu wa roho kwa damu ya yesu, ninakemea kila roho za kipepo, roho za uzinzi kwny mada iyo ili kila atakaesoma asiingiwe na izo roho kwa jina la Yesu Kristo.
Na kumuomba Mungu to the maximum
Kanifurahisha kipengele kimoja tu.
Safiii sanaaa Mtakasaji watakase hao mabahili wajijuwe.
Maana kuna watu wanafikiri wataishi hapa duniani milele.... wanajibanaaaaa to the maximum, wanaishi kwa shidaaaa wakati pesa wanazo hata Mungu hapendi. Acha sie wengine tuenjoy kwa raha zetu tukitunza usalama wetu.
Today is furaaaaaha daaaay! ikifika 10. jioni bye bye magufuli see you jtatuuuuu
Mweeeh!! If thats the case mbona hunipi hela?
Hahaha wahonge tu mijihela wasije wakafa wakaiacha
Kwani unaniuzia?!!
Kwakweli tena hii inatakiwa iwe kisheria kabisaaaa, wanaachaje kutupatia pesa alaaa!!
If your happiness is rooted in reading and writing about the Holy Book, do it to the maximum. Never let a day go without praying. Really live the Holy life. But if you find a moment to enjoy life do it to the maximum. Acha unafiki wa 'mimi ni mtu wa Mungu' wakati mwili unawaka kwa kutamani. Eat more... the slogan says.
Hisia za Moyoni hizi..... Yaonesha umenyimwa kitu addimu leo na alokunyima katoka Dar kwenda mwanza kukifata. Pole sana Ila point Taken YOLO-You Only Live Once.
Tunafanya kazi ofisi moja Dar, ninaomba mzigo unaninyima lakini unasafiri kwenda Mwanza kuhemea mahaba.