nyumbatatu JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 1,076 Reaction score 940 Feb 19, 2017 #1 Kumekuwa Na mijadala mudamrefu kuwa Ni lugha gani sahihi kutumika kufundishia, inaonekana lugha hizi zinatoa ujumbe/maana tofauti juu ya suala moja. Je?, Kama tunapata maudhui tofauti kwenye suala moja Kama pichani chini, Ni lugha ipi tuitumie?.
Kumekuwa Na mijadala mudamrefu kuwa Ni lugha gani sahihi kutumika kufundishia, inaonekana lugha hizi zinatoa ujumbe/maana tofauti juu ya suala moja. Je?, Kama tunapata maudhui tofauti kwenye suala moja Kama pichani chini, Ni lugha ipi tuitumie?.
Brightfame JF-Expert Member Joined Sep 14, 2016 Posts 1,371 Reaction score 1,460 Feb 19, 2017 #2 Labda kuna mizunguko miwili, mzunguko wa wazungu uko mita 100 na ule wa waswahili uko mita 300 !! Au aliyeandika na hao watu wa TAN ROAD wote vilaza.
Labda kuna mizunguko miwili, mzunguko wa wazungu uko mita 100 na ule wa waswahili uko mita 300 !! Au aliyeandika na hao watu wa TAN ROAD wote vilaza.
Titty JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 571 Reaction score 912 Feb 19, 2017 #3 Hiyo imekaje Attachments FlashAnnotate-20.jpg 68.9 KB · Views: 72
nyumbatatu JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 1,076 Reaction score 940 Feb 19, 2017 Thread starter #4 Titty said: Hiyo imekaje Click to expand... Ndio maana nimetaka kujua lugha ipi inafaa itumike peke yake?, maana haya mambo ya kufasiri yanatupoteza maboya
Titty said: Hiyo imekaje Click to expand... Ndio maana nimetaka kujua lugha ipi inafaa itumike peke yake?, maana haya mambo ya kufasiri yanatupoteza maboya
Titty JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 571 Reaction score 912 Feb 19, 2017 #5 Pagumu hapo bado
B bahla Member Joined Feb 14, 2017 Posts 46 Reaction score 36 Feb 19, 2017 #6 Urambo wametia aibu sana..hivi wahusika hawaoni??
kongodon Senior Member Joined Jan 12, 2017 Posts 163 Reaction score 85 Feb 20, 2017 #7 Kingereza kina wenyewe na kiswahili wenyewe na wenyewe ni wakenya labda wangeandika kinyamwezi