English vs Kiswahili

nyumbatatu

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
1,076
Reaction score
940
Kumekuwa Na mijadala mudamrefu kuwa Ni lugha gani sahihi kutumika kufundishia, inaonekana lugha hizi zinatoa ujumbe/maana tofauti juu ya suala moja. Je?, Kama tunapata maudhui tofauti kwenye suala moja Kama pichani chini, Ni lugha ipi tuitumie?.
 
Labda kuna mizunguko miwili, mzunguko wa wazungu uko mita 100 na ule wa waswahili uko mita 300 !! Au aliyeandika na hao watu wa TAN ROAD wote vilaza.
 
Kingereza kina wenyewe na kiswahili wenyewe na wenyewe ni wakenya labda wangeandika kinyamwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…