LTK
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 267
- 99
Engineer wa Tanzania ni hasara sana, yani baada ya kumaliza masomo yao na kufanikiwa kupata kazi, wao hubweteka huko makazini na hakuna maendeleo yoyote ki ujuzi wanayo jiendeleza, kinachobaki anafanya kazi kwa mazoe kwasababu unakuta kakalili machine aina flani au program, siku waki badilisha mfumo alio kua kazoe ana buma ile Mbeya.
Dunia ya sasa ki teknolojia ina badilika kila siku ila Engineer wetu wapo pale pale hawa move na teknolojia, kwasababu hawana tabia ya kujifunza vitu vipya, wao kazi yao ni Service na troubleshooting.
Na ndio maana hata company nyingi zina ajiri wataalamu kutoka nje na si kwamba hapa kwetu hawapo, ila tatizo letu ni watu wa kubweteka hatwendi na dunia ya Teknolojia na hatutaki kujifunza vitu vipya.
Wosia wangu kwenu mnaojiita ma Engineer unakuta hata ERB haiwatambui, mmbadilike ili twende na kasi ya madiliko kwa maendeleo ya nchi yetu.
Dunia ya sasa ki teknolojia ina badilika kila siku ila Engineer wetu wapo pale pale hawa move na teknolojia, kwasababu hawana tabia ya kujifunza vitu vipya, wao kazi yao ni Service na troubleshooting.
Na ndio maana hata company nyingi zina ajiri wataalamu kutoka nje na si kwamba hapa kwetu hawapo, ila tatizo letu ni watu wa kubweteka hatwendi na dunia ya Teknolojia na hatutaki kujifunza vitu vipya.
Wosia wangu kwenu mnaojiita ma Engineer unakuta hata ERB haiwatambui, mmbadilike ili twende na kasi ya madiliko kwa maendeleo ya nchi yetu.