Umeshakua addicted tayari , punguza taratibu kutumia hayo madude, yana madhara kiafya , itafika kipindi huwezi Fanya chochote bila kutumia hizo energy drinksHivi hizi energy drinks za Mo na Azam zina nini!? Nisipozinywa nashinda kama nimechoka choka siku nzima, ila nikinywa tu nachangamka vizuri.
Nmeona mateja pale mwananyamala wanaipenda sana na madereva boda boda cjajua ina kitu gani haswa kwa kweliHivi hizi energy drinks za Mo na Azam zina nini!? Nisipozinywa nashinda kama nimechoka choka siku nzima, ila nikinywa tu nachangamka vizuri.
Umepima Ngwengwe?Kwa maelezo yako mafupi inaonekana mwili wako umeshazizoea tayari japo si nzuri kwa kunywa kila siku.
Hizi energy zina kiungo cha kahawa ambacho ndicho kinakufanya uchangamke pale unapokunywa.
Kahawa iliyo ndani ya energy moja inaweza kukata usingizi hata kama ulikuwa na uchovu mwingi! Ni hatari sababu kipindi zimetoka tu nilidhani ni redbull nikawa nakunywa hadi tatu kwa siku ila kilichotokea baada ya miezi michache nikajikuta kuna wakati natetemeka kama mzee.
Hiyo Hali ya kutetemeka Ni dalili (advanced) ya ngwengweAaah ndugu!! Ngwengwe na energy drinks wapi na wapi
Sukari inakua chini mwilinMimi sitetemeki sasa, naamka nikiwa nimechoka na nisipokunywa hizo energy drinks kama mbili tatu+ fanta orange moja sijisikii poa kabisa, ila nikinywa nachangamka kabisa
😊😊😊Large amounts of caffeine may cause serious heart and blood vessel problems such as heart rhythm disturbances and increases in heart rate and blood pressure.
:Acha taratibu matumizi ya Energy drink,madhara ni makubwa kuliko faida zake
Mara oooh "Usinywe nusu saa kabla hujaenda kulala"Acha kutumia.
Fanya kujifunza kuacha usiwe tegemezi(Addicted).
Energy Drinks zina kiasi kikubwa cha caffeine ambacho kwenye mishipa ya fahamu ufanya kazi ya kuchangamsha akili na kuhisi mwili kuchangamka.
Hivi hizi energy drinks za Mo na Azam zina nini!? Nisipozinywa nashinda kama nimechoka choka siku nzima, ila nikinywa tu nachangamka vizuri.