Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,765
- 6,404
Yeahmikoani sqm 1 elfu 7
Yeahmikoani sqm 1 elfu 7
Mikoani wapi uko mkuu. Maana mikoa na manispaa zina bei tofautimikoani sqm 1 elfu 7
Kwa iyo Kila sqm laki moja.duhHabari wakuu.
Eneo Linauzwa Goba Half London.
Umbali Hadi barabara kuu ya Lami ni Mita 600
Sqm 3000
Hati Safi (Title Deed)
Bei milion 300
Piga simu 0754693556
Hapo half London sio poa mkuu, its a nice place wanaishi watu wa kipato chw juu tu. Hiyo bei ni sawa kabisa..Goba bei imefika sawa na mbezi beach safiiiii
Aminiaaaa acha wenye pesa wakujeeeHapo half London sio poa mkuu, its a nice place wanaishi watu wa kipato chw juu tu. Hiyo bei ni sawa kabisa..
Miaka ijayo inaweza kuwa hivyoHIVI MBAGALA KUNA DALILI ZA KUBADILIKA WATU KUSTAARABIKA?
We sema labda ukiweka picha watu wakalijua hilo eneo watakuzunguka waende Kwa mwenye mali moja Kwa Moja ukose ada ya kumpeleka au Cha udalali.Sio kila Tajiri anataka Mali Yake itangazwe mitandaoni Kwa picha.
Ndio mana baadhi ya post zangu hazina picha lakini MTU ukihitaji nakutumia wasap au nakupeleka kabisa eneo husika
Asante Kwa taarifa mkuuWe sema labda ukiweka picha watu wakalijua hilo eneo watakuzunguka waende Kwa mwenye mali moja Kwa Moja ukose ada ya kumpeleka au Cha udalali.
Lakin sio eti mtu anauza kitu chake lakini hataki watu wakione.