Eneo la kujenga kituo cha mafuta Dar, linahitajika

Eneo la kujenga kituo cha mafuta Dar, linahitajika

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Mikoche road,Kinondoni,ilala na maeneo mengine muhimu. Si kukodi wala kuingia ubia bali kununua.

Kwa mawasiliano piga no 0773 944 944
 
Mikoche road,Kinondoni,ilala na maeneo mengine muhimu. Si kukodi wala kuingia ubia bali kununua.

Kwa mawasiliano piga no 0773 944 944

Nenda ka jaribu kuuliza kuna sheli ile iko kama unakwenda tegeta, iko kwenye kona ya kuingia kuelekea kunduchi kona pale yule mmliki kuna wakati alikuwa anaiuza,ila kama deal ni serious nipigie nipe details zaidi 0715 591141
 
Back
Top Bottom