Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 552
- 982
Habarini wakuu
Mapambano ya kulijenga taifa yanaendelea...
Naleta kwenu ombi la kupata eneo la kujenga mashine kwa ajili ya kusaga na kukoboa katika maeneo tajwa hapo juu yaani kuanzia Kimara mpaka Mbezi eneo ambalo linatakiwa ni liwe karibu na barabara au eneo lililochangamka...linatakiwa eneo la wastani tu.
Asante
Mapambano ya kulijenga taifa yanaendelea...
Naleta kwenu ombi la kupata eneo la kujenga mashine kwa ajili ya kusaga na kukoboa katika maeneo tajwa hapo juu yaani kuanzia Kimara mpaka Mbezi eneo ambalo linatakiwa ni liwe karibu na barabara au eneo lililochangamka...linatakiwa eneo la wastani tu.
Asante