emmanuelkengoye
Member
- Jun 10, 2015
- 24
- 1
Nakuunga mkono kwa safu uliyounda kwa serikali ya ukawa baada ya kukamata Nchi.
Kwan bado mnandoto za kushinda urais?aaaaahaaaa tusijidanganye jamaniiiii ccm watashinda tu
Nani kakwambia watendaji watastaafishwa?Kitakachotokea ni kubadili mindset watu wanaendelea kupiga mzigo mkuu
Kwahiyo Makonda naye ataendelea?
Tanzania ni kubwa Na inawasomi wengi hawana ajira wako mitaani