Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,722
- 29,086
Mzuka wanajamvi!
Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi.
Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje mmatumbi akapewa Tuzo hiyo kubwa kwenye mpira?
FIFA ilimnyima waziwazi Samuel Etoo hii tuzo. Etoo angekuwa mzungu angeipata mara tano mfulululizo.
Raheem Sterling aliyekuwa mshambuliaji wa Man City na sasa hivi Chelsea alistahili hii Tuzo pia lakini kamwe hatoipata kwasababu ya rangi yake.
Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi.
Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje mmatumbi akapewa Tuzo hiyo kubwa kwenye mpira?
FIFA ilimnyima waziwazi Samuel Etoo hii tuzo. Etoo angekuwa mzungu angeipata mara tano mfulululizo.
Raheem Sterling aliyekuwa mshambuliaji wa Man City na sasa hivi Chelsea alistahili hii Tuzo pia lakini kamwe hatoipata kwasababu ya rangi yake.