Endapo Ngeleja akijiuzuru, January Makamba apewe Uwaziri huo

Lkn wanajf twende mbele turudi nyuma JM kiac ana uwezo & then presentable!!!

Kuna rafiki yangu mmoja alisoma US chuo jirani na aliposoma JMarope, unaambiwa marope alikuwa mtu wa kujirusha sana lifestyle yake ilikuwa ya kihuni hata kuzidi wamarekani wenyewe chuo chenyewe alichosoma ni aina ya vile vyuo anamiliki mtu mmoja nakuendesha kila kitu yeye na chuo poorest academically.
Jamaa ananambia wamarekani waliposikia jamaa baada ya kuagraduate na kuja bongo kawa mwandishi wa hotuba za raisi wamarekani walishangaa sana na kujua kuwa basi bongo hakuna utratibu wowote wa kutumia akili wala busara katika kutafuta viongozi yaani walishangaa sana kuanzia lifestyle yake chuo alichosoma na mpaka perfomance yake academically!

Hii ni kwa mjibu wa jamaa angu aliesoma chuo jirani na chuo alichosoma January makamba not fiction true story jamani na kwa vile tulishaona mambo yake toka akiwa ikulu unafikiri tutegemee nini zaidi ya kuuza sura tu atakapopewa post yoyote serikalini nawasilisha...................................................
 
Hilo linajulikana toka mwanzo kwa kuwa kijana January ameufukuzia sana huo uwaziri na huenda akapewa, ila itakuwa imekula kwetu, kilaza + kilaza = kilaza[SUP]2[/SUP]
No! Mathematjcally: kilaza+kilaza = 2kilaza
 
WanaJF,
Baada ya ripoti ya Jairo kuwakilishwa jana na Jairo, Luhanjo kukaangwa vilivyo waziri mwenye dhamana ya wazara hiyo naye hakuachwa. Mh. Tundu Lissu na wengine wengi walimtaka waziri kulinda heshima yake kwa kujiuzuru mara moja pamoja na naibu wake.
Lakini katika siku za hivi karibuni waziri Ngeleja amekuwa akimuona January Makamba kama mchawi wa kiti chake tokea alipopewa kuwa mwenyekiti ya kamati ya nishati kule bungeni kama sijakosea.
Kutokana na hilo na kauli za January za mara kwa mara kumshutumu Ngeleja moja wapo aliyoitoa kwenye mdahalo wa jijini Dar kwamba "Ni bora kutokuwa waziri kuliko kuwa waziri ambaye ukiongea hauaminiki" ikiwa ni dongo la wazi kwa Ngeleja kwa nini nae ASIPEWE WIZARA HIYO TUONE JINSI ATAVYOONGOZA!
Nawasilisha,

Kama maamuzi ningekuwa nafanya mimi au ushauri wangu unasikilizwa NINGEPENDEKEZA DR KAFUMU achukue nafasi hiyo! Amekuwa wizarani humo kwa miaka mingi na kama UCHAFU NA MADUDU ya ndani YOTE ANAYAFAHAMU na naamini kama ni kufanya mabadiliko itahitaji kwanza anayejua UPUUZI ulipo na ukoje kabla ya kuanza USAFI
 
sehemu hiyo angepewa mtu wa upinzani ili waone kwa nini chama tawala wanachemka..
 
Kama maamuzi ningekuwa nafanya mimi au ushauri wangu unasikilizwa NINGEPENDEKEZA DR KAFUMU achukue nafasi hiyo! Amekuwa wizarani humo kwa miaka mingi na kama UCHAFU NA MADUDU ya ndani YOTE ANAYAFAHAMU na naamini kama ni kufanya mabadiliko itahitaji kwanza anayejua UPUUZI ulipo na ukoje kabla ya kuanza USAFI

No man.
Huyu jamaa ndo kahusika na kuwapa vibali wezi wa madini kule Tabora (na takataka nyingine zinazokabili sekta ya madini), kashfa hii kashindwa kabisa kuijibu wakati wa kampeni za Igunga hivi karibuni. He (Kafumu) is, of course, part of the problem and not the solution.
 
Uwezo mdogo,hiyo wizara haihitaji ngwini kama JM,Anaongea mno,vitendo hakuna

yaelekea unamjua hadi sirini. Ngeleja si mropokaji? Nimemsikia Makamba ile ijumaa akihitimisha ripoti ya kamati yake. Dogo hata kama ungwini anajua mambo mangi. Afterall elimu yenu si nadharia? January apewe hii wizara
 
Back
Top Bottom