Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
WanaJF,
Baada ya ripoti ya Jairo kuwakilishwa jana na Jairo, Luhanjo kukaangwa vilivyo waziri mwenye dhamana ya wazara hiyo naye hakuachwa. Mh. Tundu Lissu na wengine wengi walimtaka waziri kulinda heshima yake kwa kujiuzuru mara moja pamoja na naibu wake.
Lakini katika siku za hivi karibuni waziri Ngeleja amekuwa akimuona January Makamba kama mchawi wa kiti chake tokea alipopewa kuwa mwenyekiti ya kamati ya nishati kule bungeni kama sijakosea.
Kutokana na hilo na kauli za January za mara kwa mara kumshutumu Ngeleja moja wapo aliyoitoa kwenye mdahalo wa jijini Dar kwamba "Ni bora kutokuwa waziri kuliko kuwa waziri ambaye ukiongea hauaminiki" ikiwa ni dongo la wazi kwa Ngeleja kwa nini nae ASIPEWE WIZARA HIYO TUONE JINSI ATAVYOONGOZA!
Nawasilisha,
Baada ya ripoti ya Jairo kuwakilishwa jana na Jairo, Luhanjo kukaangwa vilivyo waziri mwenye dhamana ya wazara hiyo naye hakuachwa. Mh. Tundu Lissu na wengine wengi walimtaka waziri kulinda heshima yake kwa kujiuzuru mara moja pamoja na naibu wake.
Lakini katika siku za hivi karibuni waziri Ngeleja amekuwa akimuona January Makamba kama mchawi wa kiti chake tokea alipopewa kuwa mwenyekiti ya kamati ya nishati kule bungeni kama sijakosea.
Kutokana na hilo na kauli za January za mara kwa mara kumshutumu Ngeleja moja wapo aliyoitoa kwenye mdahalo wa jijini Dar kwamba "Ni bora kutokuwa waziri kuliko kuwa waziri ambaye ukiongea hauaminiki" ikiwa ni dongo la wazi kwa Ngeleja kwa nini nae ASIPEWE WIZARA HIYO TUONE JINSI ATAVYOONGOZA!
Nawasilisha,