Kama Mawaziri watagoma kujiudhuru pamoja na kasfa zote za ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka ,je wananchi tuishie kupiga kelele tu au kuna hatua twaweza chukua achilia mbali sahihi 70 za wabunge ambazo bado ni process , hivi yaaani yaani hakuna kabisa yaani tunachoweza kufanya yaaani ...