donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?