Enakuaje?

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?
 
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?


Nachukia mnavyojazana ujinga hivyo!!!
Unadhani kila mtu anaweweseka na vijisenti na kigari???Think again brotha!!
 
Nachukia mnavyojazana ujinga hivyo!!!
Unadhani kila mtu anaweweseka na vijisenti na kigari???Think again brotha!!

u didn get me ryt. I didn mean u cn get any woman with those stuffs but most of them wanadanganyika kirahis n dats what i meant. Sorry,but sie 2lio vyuoni 2naona jins gar zinavopishana ucku kuwachukua na kuwarudsha,wenyewe wameridhika
 
u didn get me ryt. I didn mean u cn get any woman with those stuffs but most of them wanadanganyika kirahis n dats what i meant. Sorry,but sie 2lio vyuoni 2naona jins gar zinavopishana ucku kuwachukua na kuwarudsha,wenyewe wameridhika

But yet you said ''unaweza kumpata mwanamke yeyote'' ????
Haya tena....kwahiyo mtu akichukuliwa na gari basi ishakua tabu!!Unajuaje kwamba hakuanza mahusiano na huyo mtu kabla hajapata gari?
 
Ushasema money cant buy love, umeona mkuu umejijibu mwenyewe, yaani hapo hapendwi mtu linapendwa pochi lake na kalift ka kila siku, nani anapenda kudandia daladala, akishampata wake wa moyo anateleza shwaaaaaaaaa kama kakanyaga mlenda
 
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?

utanashati/umaridadi/nadhifu haumfanyi mwanaume kuwa bora kwa mwanamke fulani,kila mwanamke ana anachotaka kutoka kwa mwanaume......maisha magumu hakuna mtu anataka mtu wa kumuongezea mzigo,we kama huna kitu tafuta tu kwanza,at least uwe na hela ya mboga,kuhusu gari zuri na hela na kumpata mwanamke yeyote unayemtaka unajidanganya......gari zuri kwanza its a relative term...wengine mark two ndo gari nzuri, na kiasi cha hela unazoziona nyingi pia zaweza kuwa senti kwa mwanamke......na wapo wanawake wameridhika na walichonacho,kidogo au kikubwa,hela haiwafanyii uamuzi wa wawe na nani na wasiwe na nani....

money can not buy love.....mwanamke anayependa hela zako hakupendi wewe....ila wapo wanaopenda mwanaume na hela zake :juggle:
 
Nachukia mnavyojazana ujinga hivyo!!!
Unadhani kila mtu anaweweseka na vijisenti na kigari???Think again brotha!!

miss you dearest.....mwambie dogo,si kila mwanamke anaweweseka na vijisenti na vigari......sasa wenye magari na vijisenti na zaid inakuwaje?
 
miss you dearest.....mwambie dogo,si kila mwanamke anaweweseka na vijisenti na vigari......sasa wenye magari na vijisenti na zaid inakuwaje?

Me too dearest....huko bize unatoka lini???
Aisee the boy has to learn that enzi za kutetemekea gari zimepita. Siku hizi wanawake wana masenti sasa watawewesekaje na vijisenti bwana!!!
 
Me too dearest....huko bize unatoka lini???
Aisee the boy has to learn that enzi za kutetemekea gari zimepita. Siku hizi wanawake wana masenti sasa watawewesekaje na vijisenti bwana!!!

ataelewa tu ngoja akutane na wenye masenti ndo atajua.....huku bize natoka mwezi wa tisa dearest....navyokupenda haiishi wiki lazima nije nikupe hi hapa....!!!:juggle:
 
All said r true but i conducted a research nikagundua kwamba most of the girls nawdays r kinda greedy. Ni wachache wanaojiheshimu nakujithamini ambao hawadanganyiki na vi2 vidogovidogo but stil wapo ambao ni malimbukeni ambao wanaojali wao ni wat u got in yo pockets,u cnt argue that. Cyo wadada2,pia hata vijana wadogo ambao wanatembea na wanawake umri kama mama zao ili "walelewe". MONEY CNT BUY LOVE BUT SMTYMS IT COSTS ALOT 2GET LOVE,WATAALAM WA FINANCE 2NAITA IMPLICIT COSTS
 
ataelewa tu ngoja akutane na wenye masenti ndo atajua.....huku bize natoka mwezi wa tisa dearest....navyokupenda haiishi wiki lazima nije nikupe hi hapa....!!!:juggle:

Dah....mbali kweli dearest!!!Pole lakini....hopefully hapachoshi sana huko busy!!!!Me love you too......uwe unanichungulia now and then!!!
 
All said r true but i conducted a research nikagundua kwamba most of the girls nawdays r kinda greedy. Ni wachache wanaojiheshimu nakujithamini ambao hawadanganyiki na vi2 vidogovidogo but stil wapo ambao ni malimbukeni ambao wanaojali wao ni wat u got in yo pockets,u cnt argue that. Cyo wadada2,pia hata vijana wadogo ambao wanatembea na wanawake umri kama mama zao ili "walelewe". MONEY CNT BUY LOVE BUT SMTYMS IT COSTS ALOT 2GET LOVE,WATAALAM WA FINANCE 2NAITA IMPLICIT COSTS

Kumbe una majibu yote
 
kuna kitu kinaitwa chemistry....
sijui nikielezaje kwa kiswahili...
kama chemistry haipo,hata uwe na pesa na utanashati utapigwa kibuti..
na kama chemistry ipo,ni rahisi mno.
 
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?


Kawaambie hao hao wa chuoni kwako ulipo usituunganishe na sisi umesikia eehhh

All said r true but i conducted a research nikagundua kwamba most of the girls nawdays r kinda greedy. Ni wachache wanaojiheshimu nakujithamini ambao hawadanganyiki na vi2 vidogovidogo but stil wapo ambao ni malimbukeni ambao wanaojali wao ni wat u got in yo pockets,u cnt argue that. Cyo wadada2,pia hata vijana wadogo ambao wanatembea na wanawake umri kama mama zao ili "walelewe". MONEY CNT BUY LOVE BUT SMTYMS IT COSTS ALOT 2GET LOVE,WATAALAM WA FINANCE 2NAITA IMPLICIT COSTS

Peleka mambo ya chuo hukohuko eti hawajiheshimu na kujithamini naona uko kishule zaidi kaongee nao hukooooooooooooo
 
Dahh pole
umepigwa chini mara ngapi
Mzeewalolliondo kwa kweli

Unaweza kuwa nakila kitu
lakini kama Una personality chachu
Sana sana utachakachuliwa tu..

Omba Mungu usikutane na ma golddigger
Utajuta..na usidhani kama Una kila kitu
Unaweza kumpata kila mtu..
hiyo mentality mbaya sana ...

Kwanini usimtafute kiboko mwanzako
Ili usishushe ahadhi yako (PJ)

I'm out...
 
Jamani, the guy nids some compassion..anaongea out of desperation!
 
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?

Inabidi ujue tofauti kati ya love na sex, you can buy sex but not love
 
Jamani si wanawake wote pesa mbele, na wale wanaolelewa na wanawake je tusemeje?
 
Dahh pole
umepigwa chini mara ngapi
Mzeewalolliondo kwa kweli

Unaweza kuwa nakila kitu
lakini kama Una personality chachu
Sana sana utachakachuliwa tu..

Omba Mungu usikutane na ma golddigger
Utajuta..na usidhani kama Una kila kitu
Unaweza kumpata kila mtu..
hiyo mentality mbaya sana ...

Kwanini usimtafute kiboko mwanzako
Ili usishushe ahadhi yako (PJ)

I'm out...

afrodenzy tru words spoken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom