Emotional pains are more complicated than physical pains

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,270
Emotional pain huwezi kuziekezea, tunapambana nazo bila ya watu wa karibu na sisi kuekewa. Ni rahisi kumcheka mtu kuwa dune zima limejiua huelewi kilichopelekea dume zima kufanya vile.

Kuna wakati nilipitia emotional pain, nilitafuta comfort zone ya kuihandle. Red wine ilikuwa rafiki yangu kila nikitoka kazini. Hayo yalikuwa maisha yangu kwa mwaka mzima.

Nikipokuja kushtuka nilikuwa na kilo 90. Nilipata tabu asubuhi kutafuta nguo vya kuendea kazini. Nilishona vitenge vichache. Kasheshe ikawa high BP kutokana na uzito.

Wakati huo nilikuwa na nguvu ya kupigana na physical pain. Ilinichukua miezi mitatu Ilya kuondoa kilo 20. Haikuwa rahisi, gym diet na meditation.

Kila mtu ana njia yake ya kupigana na emotional pains. Lakini kujiua si jawabu la matatizo. Unawares unaiwaacha nyuma mwenza na watoto.
 
Emotional pain...nimama wa physical complications km vile Ulcers, headache, Heartache .....baada sasa yamtu kuangaika anaamua kujipumzisha.
 
Uwezo mdogo wa kuchambua mambo na kukabiliana nayo kiakili ni tatizo. Mara nyingi watu ambao hutumia zaidi nguvu kuliko akili ni rahisi kujiua kuliko mtu anaetumia akili zaidi. Kiwango kidogo cha elimu pia ni tatizo.
 
Pole sana na hongera kwa get over hiyo emotional pain BTW asipirini alikuwa wapi wakati hayo yoote yanaendelea?
He was very supportive but mind you he is a human being with his own issues to deal with. Anaelewa mwisho anaona you don’t try hard enough
 
Alafu Sky, siku izi umekua mtamu sana ktk mada zako , zaman mada zako zilijikita sana ktk maisha ya watu wwngine na ambayo hata hauna usemi ndani mwake .( maybe sababu umwanamke, au mimi tu ndo nashida)

Lakini nikiri kua, siku izi unaandika post kali kali yaan binafsi nakuita kimoyomoyo "Mkombozi" ,kwakua nyuzi zako sasa zinalenga kufundisha, kuweka hoja, kutoa ujumbe n.k

Hivi ndo unapaswa kua siku zote, nyuzi zakipindi kile achia Wasichana ambao maisha yao yote ni IG .
 
Emotional pain inachangia kwa kiasi kikubwa kujimada
mimi kuna kipindi nilipata tatizo miezi miwili saikolojia yangu haijakaa sawa nikawa sioni faida ya maisha hapo ndio nilijua kumbe kujiua kupo.
 
Yes, emotional pain hurts the most. It is hidden and nobody knows its woes except you.

You pretend to smile and laugh alot but you are just dying inside.

Bora physical. Utameza dawa ama kuchuwa na pia mfano umeumia kidole watu wanaweza elewa maumivu unayoyapata.
 
Uwezo mdogo wa kuchambua mambo na kukabiliana nayo kiakili ni tatizo. Mara nyingi watu ambao hutumia zaidi nguvu kuliko akili ni rahisi kujiua kuliko mtu anaetumia akili zaidi. Kiwango kidogo cha elimu pia ni tatizo.
elimu inakuja vp mkuu
 
Emotional pain huwezi kuziekezea, tunapambana nazo bila ya watu wa karibu na sisi kuekewa. Ni rahisi kumcheka mtu kuwa dune zima limejiua huelewi kilichopelekea dume zima kufanya vile.

Kuna wakati nilipitia emotional pain, nilitafuta comfort zone ya kuihandle. Red wine ilikuwa rafiki yangu kila nikitoka kazini. Hayo yalikuwa maisha yangu kwa mwaka mzima.

Nikipokuja kushtuka nilikuwa na kilo 90. Nilipata tabu asubuhi kutafuta nguo vya kuendea kazini. Nilishona vitenge vichache. Kasheshe ikawa high BP kutokana na uzito.

Wakati huo nilikuwa na nguvu ya kupigana na physical pain. Ilinichukua miezi mitatu Ilya kuondoa kilo 20. Haikuwa rahisi, gym diet na meditation.

Kila mtu ana njia yake ya kupigana na emotional pains. Lakini kujiua si jawabu la matatizo. Unawares unaiwaacha nyuma mwenza na watoto.
Pole sana, tulihisi tunaokufahamu miaka (siyo physically).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom