Hisia za mtu ndio unafanyia hivo? Unamkuta mtu amekaa ametulia hana hili wala
lile wala hakutaki wala hataki mtu, unapambana kumshikanisha kihisia ili uone kama ataumia?
eee Yesu hivi lamo hautaki kubadilika tu😅😅🙌,, kiukweli nimepelekewa moto tu na nimeona hakuna cha maana imenibidi nirudi kwako dada angu unistiri nianze mwanzo,, tafwazari usinitupe udugu wangu😘
Mabinti wenzako wote huko tunashindana kununua hisa DSE wewe unaendekeza ngono na choka mbaya shauri yako.
Au wewe unataka kuja kuwafanyia kazi mabinti wenzako wakulipe mshahara kwa nyodo??
Mapenzi yalikuwepo, yapo na yatakuwepo.
Tafuta maisha bora kwanza ili upate mpenzi unayemtaka bila kuteswa na uchumi..!! 😹
Mabinti wenzako wote huko tunashindana kununua hisa DSE wewe unaendekeza ngono na choka mbaya shauri yako.
Au wewe unataka kuja kuwafanyia kazi mabinti wenzako wakulipe mshahara kwa nyodo??
Mapenzi yalikuwepo, yapo na yatakuwepo.
Tafuta maisha bora kwanza ili upate mpenzi unayemtaka bila kuteswa na uchumi..!! 😹