McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Emmanuel Nchimbi, akiwa wilayani Kibiti, mkoani Pwani, kwenye, amewaambia wananchi wa Wilaya hiyo kuwa katika Uongozi wa Rais Samia hali ya usalama nchini imetengemaa kutokana na maboresho makubwa yaliyofanywa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo kuimarisha mafunzo,vifaa pamoja na kuajiri watumishi kwenye vyombo hivyo.
"Hali ya usalama nchini imetengemaa na hiyo ni kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan amefanikisha"
"Hali ya usalama nchini imetengemaa na hiyo ni kwa sababu Rais Samia Suluhu Hassan amefanikisha"