Humjui nikki mbishi
Niliheshimu sana mawazo yako na nilikuwa nafuatilia kwa nidhamu sana.Acha kuongea kama umebugia kinyesi, cheki mnyama anavyokamua live na hapa umri ushaenda
Sijajua ulikusudia hiki ulichokiandika au umemchanganya Em na ujinga mwingine uliokuwa unaufikiria.Mkuu unajua Auto tune? Eminem ametoka kizazi feki na ile sio sauti yake ukimuweka live hawezi kurap vile anatumia sauti fake (Auto tune, distortion, overlap etc) ndio maana hawi regarded kama mwana Hiphop bora.
Kina rakim, 2pac, Nas, B.i.g Jay Z etc wanakuwa regarded kama bora zaidi.
Pole sana mkongwe!Niliheshimu sana mawazo yako na nilikuwa nafuatilia kwa nidhamu sana.
Sikujua kuwa una akili ndogo.
Itawezaje kumjibu mtu kama Chief-Mkwawa anayejiheshimu kama huyu utumbo huu?
Kwanini usimpinge kwa hoja?
Mkwa alitoa hoja kwa staha hakustahili kuvunjiwa heshimaPole sana mkongwe!
Ila Chief Mkwawa amezingua sana.
Mkuu nimeweka link ya sound engineer wake kabisa akielezea wanavyopata ile sauti.Hapana angalia show zake live
Je anategemea Technology pekee?Mkuu nimeweka link ya sound engineer wake kabisa akielezea wanavyopata ile sauti.
Ingia subreddit ya Eminem hao fans wake wenyewe hawabishi hilo, tunaweza bishana Auto tune sababu sio 100% proved ila hio overlap na distortion na reverberation, ku speed up nyimbo vyote ni vitu ambavyo vimethibitishwa na Team yake mwenyewe ama scientific methods nyengine.
Mkuu sijasema popote Eminem ni msanii mbaya ama nyimbo zake sio nzuri, Hio Not Afraid yenyewe hata mimi naipenda.Je anategemea Technology pekee?
Hawezi kufanya mwenyewe?, kama majibu ni ndio basi Guiness ni wajinga ( wanaweka kwenye rekodi nyimbo mbili ambazo zinategemea tech kuweka speed ).
Je tujiulize Em ni bora kwenye speed pekee, mbona Nyimbo zake zinazopendwa sana ni zile alizorap taratibu?
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, EM ni habari Nyingine.
Freestyle, Lyrical, pumzi, Vocabularies, sijaona bado asee.....
Mkuu sijawahi kufahamu ili kumbe all this time huyu, mwamba anatumia auto tune. Na kuwa mwana hip hop kwangu kote sikuwahi kushtukia iliMkuu unajua Auto tune? Eminem ametoka kizazi feki na ile sio sauti yake ukimuweka live hawezi kurap vile anatumia sauti fake (Auto tune, distortion, overlap etc) ndio maana hawi regarded kama mwana Hiphop bora.
Kina rakim, 2pac, Nas, B.i.g Jay Z etc wanakuwa regarded kama bora zaidi.
Duh! M na autotune!! First to hear it!!Mkuu unajua Auto tune? Eminem ametoka kizazi feki na ile sio sauti yake ukimuweka live hawezi kurap vile anatumia sauti fake (Auto tune, distortion, overlap etc) ndio maana hawi regarded kama mwana Hiphop bora.
Kina rakim, 2pac, Nas, B.i.g Jay Z etc wanakuwa regarded kama bora zaidi.
Upo sahihi mkongwe.Mkwa alitoa hoja kwa staha hakustahili kuvunjiwa heshima
Mziki unaenda na mapenzi binafsi ya mtu......Mkuu sijasema popote Eminem ni msanii mbaya ama nyimbo zake sio nzuri, Hio Not Afraid yenyewe hata mimi naipenda.
Ila Mleta mada anazungumzia Great of All time, yaani msanii bora wa Hip hop wa muda wote.
Je utamchagua msanii bora wa muda wote Mtu ambaye anachanganya Kipaji na vifaa vya Studio? Yupo Level Moja na greats wengine?
Kwani Em ni wa leo?Tukiangalia mauzo au hela wanazopiga kizazi cha leo basi kina Whitney Houston, Mariah Carey, Celine Dion, R Kelly sio bora wa muda wote. Tukubaliane kuna wanamuziki wa sasa wazuri kuliko wa zamani ila bado ni wachache waliovunja rekodi zilizowekwa na wakongwe. Kuna watu walikuja duniani kuweka tu rekodi zao kabla hawajafa au kustaafu. Wanamuziki wa leo ni hela tu wanapiga wengi wao ila sio ubora wa muziki.
Hakuna kigezo kimoja kumfanya mtu kuwa Goat ila unaweza angalia wiki ya Hip hop hapa kuna rank ya site mbalimbali na vigezo mbalimbaliMziki unaenda na mapenzi binafsi ya mtu......
Ni ngumu kufika hitimisho kwa mtindo huu wa sasa.
Je, unaodhani kuwa ni G.O.A.Ts wanamzidi nini?