Kawe naunga mkono tumpe tuu Magige kwa kumuenzi tuu Baba yake Mwalimu Nyerere!, kama Amani alivyopewa kumuenzi Abedi, Dr. Hussein kumuenzi, Ali Hassan, Riz1 kmuenzi Jakaya, lakini ni kweli kwenye miti mara nyingi huwa hakuna wajenzi!, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, vikamfiti na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!, hata hao watoto wa wanasiasa, wengi sio wanasiasa bali wanabebwa na majina ya ubini!.Emil Magige,mtoto wa tatu wa Mwalimu Nyerere amechukua na kurudisha fomu ya ubunge jana.
Magige ameniambia anataka kuwa mbunge wa Kawe.
Hili ndilo Jimbo la Gwajima.
What's your point! Hakuna mtoto wa mwalimu wa kufikia viwango vya intellect ya kina Samia!Kawe naunga mkono tumpe Magige kwa kumuenzi tuu Mwalimu!, lakini ni kweli kwenye miti hakuna wajenzi, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!.
P
Pascal haugombei tena kawe?Kawe naunga mkono tumpe Magige kwa kumuenzi tuu Mwalimu!, lakini ni kweli kwenye miti hakuna wajenzi, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!.
P
Pascal kazingua, huwezi kusema binadamu yoyote, ni binadamu yeyote.Pascal haugombei tena kawe?
Na wasiwasi na upeo wako, yaani unachagua kiongozi kwa kigezo cha kuenzi mema ya baba yake? Vipi endapo yupo mwingine mwenye uwezo na maono zaidi yake?Kawe naunga mkono tumpe Magige kwa kumuenzi tuu Mwalimu!, lakini ni kweli kwenye miti hakuna wajenzi, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!.
P
Tusingekuwa na Samia kwenye uraisNa wasiwasi na upeo wako, yaani unachagua kiongozi kwa kigezo cha kuenzi mema ya baba yake? Vipi endapo yupo mwingine mwenye uwezo na maono zaidi yake?
Yaani huyo nanilii ndo ulinganishe na watoto wa nyerere🤣🤣What's your point! Hakuna mtoto wa mwalimu wa kufikia viwango vya intellect ya kina Samia!
I know you're not serious
Mako anaweza Ila maji ndo ishuKawe naunga mkono tumpe Magige kwa kumuenzi tuu Mwalimu!, lakini ni kweli kwenye miti hakuna wajenzi, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!.
P
Hatumii kilevi. Baba yake akiwa rais, yeye alikuwa meneja wa karakana ya Kijiji cha Butiama.Siyo mlevi kama wale ndugu zake?
Kawe naunga mkono tumpe Magige kwa kumuenzi tuu Mwalimu!, lakini ni kweli kwenye miti hakuna wajenzi, Mwalimu hana mtoto hata mmoja wa kuvaa viatu vyake, na ukimuondoa msanii Brother Mako, hakuna mtoto mweingine yoyote wa Mwalimu ni mwanasiasa!.
P
Ana ndugu gani walevi unaowafahamu wewe!Siyo mlevi kama wale ndugu zake?
Tulia acha kureply comment 1 mara mbilimbiliAna ndugu gani walevi unaowafahamu wewe!