Emigani y’Ekihaya (Misemo ya kabila la wahaya)

Okutukuza elisho tibumanzi, ekishoisholya kyakuba kitabingwa ikote. ( Sura au umbo halitafsiri tabia, kuna ndege anaitwa kishoisholya, ana macho mekundu na mbwembwe nyingi, lakini ajabu ukimtupia tope lililokauka anatoka nduki. Ujumbe: Mwenye sura ya upole anaweza kuwa jasiri na mwenye sura ya kutisha akawa mwoga kabisa)
 
Kwa taarifa yako ..
Uoaji wa zamani ulikuwa wa kutorosha hata kama kuna makubaliano ya pande zote mbili ...
Kijana baada ya kulala na huyo mke alomuoa, kesho yake Alfajili alipaswa kupewa Mkuki na kuwatembelea wale anaowaheshimu na kuwasalimia kwa hiyo Salaamu "Shumaalamu waitu" Hii ilikuwa ishara ya kujiunga na wenzie walowahi kuoa kwa kutorosha binti iwe kwa makubaliano ya pande mbili au la.
Kutorosha sawa na kuiba.
Mwizi anaitwa Omushuma
Kuiba kwa kutumia lugha ya heshima ... Kushumaala.
shumwala waitu=omushuma alamwa waitu
Hacha kupotosha,hiyo salamu ya watu walio oa tayari
 
Duu!! Sijui aliyebuni kuandika haya Leo hii cjui yuko wapi
Nimecheka kweli

Ayazinile! Tawa itengya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom