Embu kachezeeni nje

Embu kachezeeni nje

msakahabari

Member
Joined
Jul 6, 2012
Posts
29
Reaction score
8
Kuna vichaa walikuwa wanasafirishwa kwa ndege kwenda India kwa matibabu zaidi.
Wakiwa juu angani waliandaliwa eneo maalum la kuchezea mpira, sasa wakawa wanacheza mpira, bahati mbaya wakati wanacheza wakampiga na mpira mwenzao ambaye alikuwa ametulia. Jamaa kwa hasira akachukua ule mpira na kwenda hadi lango la ndege na kulifungua, akatupa mpira nje kisha akawaambia embu kachezeeni nje huko.
 
Inaonekana hata wewe ulikuwa ni miongoni mwao.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Wewe ulifanyeje ulitoka kucheza nje ua ulifunga mlamgo wenzio wasitoke?
 
Back
Top Bottom