Dan Geoff P
Member
- Jan 16, 2012
- 85
- 100
Kama mada inavyojieleza hapo, kwa wae ambao bado ni watumiaji wa barua pepe za Yahoo naona leo mtandao huo umegoma kabisa kufunguka...nimeona hili tatizo kwa watu kama wanne hapa ofisini.
Wajuzi wa haya mambo tufahamisheni wapi kuna tatizo
Wajuzi wa haya mambo tufahamisheni wapi kuna tatizo