Email za Yahoo zinasumbua leo

Dan Geoff P

Member
Jan 16, 2012
85
100
Kama mada inavyojieleza hapo, kwa wae ambao bado ni watumiaji wa barua pepe za Yahoo naona leo mtandao huo umegoma kabisa kufunguka...nimeona hili tatizo kwa watu kama wanne hapa ofisini.
Wajuzi wa haya mambo tufahamisheni wapi kuna tatizo
 
Hata kwangu imegoma kabisa, halafu huko ndio kuna kuwa na mambo yangu ya muhimu ya shughuli za mama lishe!!!
 
Kama mada inavyojieleza hapo, kwa wae ambao bado ni watumiaji wa barua pepe za Yahoo naona leo mtandao huo umegoma kabisa kufunguka...nimeona hili tatizo kwa watu kama wanne hapa ofisini.
Wajuzi wa haya mambo tufahamisheni wapi kuna tatizo
Ni kweli hata mimi ni mhanga, ila wametoa tangazo, wazungu bana wanajali!
 
Ni kweli hata mimi ni mhanga, ila wametoa tangazo, wazungu bana wanajali!
Nimethibitisha kwamba Yahoo Mail ina matatizo, haifunguki. Lakini hili limenifirikisha, hivi siku mnakosana na jamaa si watakuzimia mawasiliano? Taarifa za wagonjwa katika hospitali zetu zinatumia mawasiliano ya Google. Siku ya siku tutajikuta wagonjwa wetu wanagugumia vitandani kwa vile hao jamaa wametufungia. Wenzetu wameshaliona hilo na wapo mbioni kujonasua na kadhia huyo.
 
Back
Top Bottom