Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
- Thread starter
- #481
imagine kazi inatangwazwa 3yrs ina maana tz hatuna wasomi kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app
imagine kazi inatangwazwa 3yrs ina maana tz hatuna wasomi kweli??
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ujinga mlionao huko kwenye sehemu ya haja! Kama wamezingua hiyo brand inatuhusu nn?? Kama wamejenga brand basi nao wanatakiwa kuiheshimuMm nina mke na watoto wa kike wakubwa zaidi ya wewe paka mweusi wee.
Jamii Forum ni ya watu makini lakini kuna watu mnataka kuigeuza Dangulo,sehemu ya Kudangia madanga hapa mnakashifu watu na brand za kampuni za watu.
Do you know how much it cost to build a brand like Alistair???
We jamaa kama ni mwanaume basi utakuwa unapumuliwa, kupata 98.5 na yeye kupata 70 inategemea na aina ya mtihani! Sasa kama hiyo test yako ulikuwa unaulizwa shilole anakaa wapi, kwa nn usipate 98.5??? Na wewe lete maswali tuone ka yalikuwa magumu, pambaaafUsitetee ujinga dada ana matatizo
Jinga sana hilo dada mm nimefanya interview watu 400,Amplitude nikapga
98 .5 aliyenifuata akawa na 72.Ikapigwa Oral interview nikawagalagaza wrote .wakaniuliza unataka mshahara bei gani nikawaambie usipungue 2.5 M wakasema hatuwezi kukulipa hiyo ni Pesa nyingi nikawaambia below hapo sitoweza kufanya kazi nanyi wakala chocholo waajiri wote.
Yeye 70 Marks anapiga kelele.
Yaani unapangia hadi watu uzi wanaotakiwa kuleta! Wewe unapumuliwa, na nikikujua nakutongoza nikafumue hayo mari___ndaHuu Uzi sitaki kuuona,ufute haraka sana natoa dk5.
Usitetee ujinga dada ana matatizo
Jinga sana hilo dada mm nimefanya interview watu 400,Amplitude nikapga
98 .5 aliyenifuata akawa na 72.Ikapigwa Oral interview nikawagalagaza wrote .wakaniuliza unataka mshahara bei gani nikawaambie usipungue 2.5 M wakasema hatuwezi kukulipa hiyo ni Pesa nyingi nikawaambia below hapo sitoweza kufanya kazi nanyi wakala chocholo waajiri wote.
Yeye 70 Marks anapiga kelele.
Ukiona Kazi inatangazwa hadi mara tatu tatu na haipati mtu, hapo Tatizo ni kwa recruiters na sio applicants. Staffs wanaajiliwa based on attitude na how competent they are, skills zinafundishwa. Sio rahisi kupata candidate ambaye ni perfect match na requirements za company unless wafanye hunting. Ila kwa Kazi hizi za kutangaza wapambane tu. Alafu alistairs si ni kampuni ya usafirishaji tu mbna wanajikuta sana??
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa kama ni mwanaume basi utakuwa unapumuliwa, kupata 98.5 na yeye kupata 70 inategemea na aina ya mtihani! Sasa kama hiyo test yako ulikuwa unaulizwa shilole anakaa wapi, kwa nn usipate 98.5??? Na wewe lete maswali tuone ka yalikuwa magumu, pambaaaf
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza sema alikuwa mwenyewe kumbe Kuna wengine walikuwa wanafuatilia through camera.Kuhusu jamaa kuuliza maswali ya ovyo na majivuno alikuwa pengine anapima emotional zenu.Huyo jamaa huenda yupo vizuri ndio maana naye kaaminiwaMind you first interview haikuwa conducted na yeye wala second ....ni wahindi na wazungu ya mwisho ndo yeye na bad enough siku ya face to face alikuwepo yy mwenyewe weingine wakikuwa na dharura
Mkuu Kama ulipanick Muda huohuo ulikosea huenda ndo ulikuwa mtego wenyewe wa InterviewTalkin of uelewa wa issue mbali mbali its ok kwa hayo maswali bt ni maswali ya kijinga trust me
Weka picha yako tukuone ulivyo kisu haswaaaaaaMi hata silijui ndo mara ya kwanza kumuonaa....na siku hiyo tulikwa wasichana watatu visu haswaaaaaa.......lakin hamna akiyekuwa na tym naye nikichofata pale ni interview