Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
Aise! Sijapata kuona mkaka ana roho mbya kama huyu daaah just imagine mtu unafanyishwa intervieww ngumu for 40 min maswali magumu haijapata kutokeaa unapass,
Second interview inakuwa ya skype unafanyiwa na wahindi jaman wanaukiza maswali vizuri saaana yaan wako vizuri mpka unaenjoy
Inteview ya mwisho ndo face to face with hiring manager ndo unakutana na huyo bazazi Elvis mkaka ana majivuno, ana maswali ya dharau, imagine hakuulizi swali lolote linalolohusina na interview hata kwenye job description hamna bora hata yangekuwa ni.maswali ya technical skills and hili swala sio mimi tu watu kibao wanakukalalamikiaa,una maswali ya kimama saana we mkaka
Halafu anajikuutaga alistair ni ya kwao while naye kaajiriwa kama watu wengine wenye kampuni wapo fair na wanaongea vizuri ila ww mkaka nilitamni kukutemea makohozi shame on you.
Kampuni ya mzungu sio ya kwenu!
Second interview inakuwa ya skype unafanyiwa na wahindi jaman wanaukiza maswali vizuri saaana yaan wako vizuri mpka unaenjoy
Inteview ya mwisho ndo face to face with hiring manager ndo unakutana na huyo bazazi Elvis mkaka ana majivuno, ana maswali ya dharau, imagine hakuulizi swali lolote linalolohusina na interview hata kwenye job description hamna bora hata yangekuwa ni.maswali ya technical skills and hili swala sio mimi tu watu kibao wanakukalalamikiaa,una maswali ya kimama saana we mkaka
Halafu anajikuutaga alistair ni ya kwao while naye kaajiriwa kama watu wengine wenye kampuni wapo fair na wanaongea vizuri ila ww mkaka nilitamni kukutemea makohozi shame on you.
Kampuni ya mzungu sio ya kwenu!