Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
- Thread starter
- #461
Hahahahha n bado nina wewe
baada ya kumuumbuaa Elvis Peter kuwa anatesa wenzie esp watanzania wanapoenda kwenye interview pale #Alistar so today kaamuaa kuja na fake account kuja kujiteteaa kwa kujidai yeye ni rafiki wa Alvis mfyuuuuu utakufa na roho mbaya yako hiyo sio kampuni ya baba ako hiyo ni kampuni ya #James na wazungu sio ndugu zako kazi zinatangazwa miaka 3 hapatikan mtu ina maana sisi wabongo tuna ukilaza wa aina gani?? ndo maana mpka wenzio hawakupendi na hilo piaa mkalijadili hapo ofisini kwenu kama ukivyofanyaa mwanzoni
alichonijibu kwa fake account
TheDreamer Thebeliever, post: 34586516, member: 478135"]Ww ndio maana jamaangu Elvis Peter Kashaija kakutema utakuwa una matatizo waajiri wanasoma Psychology ya mtu .Muhaya yule ana akili nyingi sana harafu ni mtu poa ,mtu peace ,mtu wa watu yule mm nimesoma naye MBA ( Frankfurt-Germany) yeye ndio Head of Talent Development pale akiongea yeye wengine wote wanafyata mikia,maneno mengi mpk unampkazia mtoto wa watu uchawi na ww si ukaroge huone km utampata.
Ww haujapata kazi unatukana ma HR mitandaoni je ,ukiacha kazi si ndio utawanyea kabisa.Unawaponda wasio na kazi kwani walipenda??Wewe uliye na kazi Alistair Group ulifuata nini kama sio genywe zinakuwasha.??Umekosa malezi bora ngazi ya familia.Ebu tuache watu tunawaza Serikali ya viwanda ww unaleta upuuzi hapa JF next time lete uzi constructive ambazo utasaidia Taifa sio huu ushuzi.
Unatukana mamba bado haujavuka mto akili hauna kabisa wee,kampuni yangu siwezi ajiri kichaa kama ww.Nyinyi ndio wale mnaodanga kwa ma lecturers mpate GPA za mezani ,ss mpaka kwny interview unalegeza legeza macho kwa HR watu wanafuata protocol za kazi zao.[/QUOTE]
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya kumuumbuaa Elvis Peter kuwa anatesa wenzie esp watanzania wanapoenda kwenye interview pale #Alistar so today kaamuaa kuja na fake account kuja kujiteteaa kwa kujidai yeye ni rafiki wa Alvis mfyuuuuu utakufa na roho mbaya yako hiyo sio kampuni ya baba ako hiyo ni kampuni ya #James na wazungu sio ndugu zako kazi zinatangazwa miaka 3 hapatikan mtu ina maana sisi wabongo tuna ukilaza wa aina gani?? ndo maana mpka wenzio hawakupendi na hilo piaa mkalijadili hapo ofisini kwenu kama ukivyofanyaa mwanzoni
alichonijibu kwa fake account
TheDreamer Thebeliever, post: 34586516, member: 478135"]Ww ndio maana jamaangu Elvis Peter Kashaija kakutema utakuwa una matatizo waajiri wanasoma Psychology ya mtu .Muhaya yule ana akili nyingi sana harafu ni mtu poa ,mtu peace ,mtu wa watu yule mm nimesoma naye MBA ( Frankfurt-Germany) yeye ndio Head of Talent Development pale akiongea yeye wengine wote wanafyata mikia,maneno mengi mpk unampkazia mtoto wa watu uchawi na ww si ukaroge huone km utampata.
Ww haujapata kazi unatukana ma HR mitandaoni je ,ukiacha kazi si ndio utawanyea kabisa.Unawaponda wasio na kazi kwani walipenda??Wewe uliye na kazi Alistair Group ulifuata nini kama sio genywe zinakuwasha.??Umekosa malezi bora ngazi ya familia.Ebu tuache watu tunawaza Serikali ya viwanda ww unaleta upuuzi hapa JF next time lete uzi constructive ambazo utasaidia Taifa sio huu ushuzi.
Unatukana mamba bado haujavuka mto akili hauna kabisa wee,kampuni yangu siwezi ajiri kichaa kama ww.Nyinyi ndio wale mnaodanga kwa ma lecturers mpate GPA za mezani ,ss mpaka kwny interview unalegeza legeza macho kwa HR watu wanafuata protocol za kazi zao.[/QUOTE]
Sent using Jamii Forums mobile app