Elimu yangu ya kata,mkalimani tafadhali.

Elimu yangu ya kata,mkalimani tafadhali.

Ranks

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
2,583
Reaction score
1,098
images-185.jpeg
 
"Usiogope kupaaza sauti yako kwa ajili ya uaminifu, ukweli na utu dhidhi ya dhuluma, uongo na ulafi (uchoyo). Ikiwa watu wote ulemwenguni watafanya hivi basi dunia itabadilika"
 
Akhsante Percival,lakini nadhani kwa ss dunia imepungukiwa na watu hao na kama Afrika imebaki na ukiwa baada ya kuondokewa na magwiji kama N.Mandela,N.Nkurumah,Mwalimu J.N.,nk.,kwa mbaali ninawaona J.Malema,T.Lisu nk,hope tukiacha uoga na kuongeza bidii tutafika.
images-365.jpeg
 
Back
Top Bottom