said rutemba
New Member
- Jan 27, 2015
- 1
- 1
Nimejaribu kuwaza kwa sauti tu....
Elimu/ujuzi wa veta imekua ni elimu ambayo wengi wanaifata baada ya kuwa wamefanya vibaya kimasomo na mara nyingi baada ya kufeli elimu ya secondari au wengine baada ya kufeli kabisa ki maisha ndio linakua kimbilio la mwisho.
Kwa nini Elimu hii ( Ya Veta ) isiwekwe pamoja na Elimu ya Sekondari yaani mfano haya Madarasa yanayo jengwa mapya kwa nini yasiwekwe hata madarasa mawili ya elimu ya veta ili mtu anapo maliza kidato cha nne au sita anakua ana ujuzi tayari na hata kama elimu ya sekondari anakua hajafanya vizuri tayari ujuzi unakuwepo na anaweza endelea kujiajiri badala ya kwenda veta kuanza upya.
Elimu/ujuzi wa veta imekua ni elimu ambayo wengi wanaifata baada ya kuwa wamefanya vibaya kimasomo na mara nyingi baada ya kufeli elimu ya secondari au wengine baada ya kufeli kabisa ki maisha ndio linakua kimbilio la mwisho.
Kwa nini Elimu hii ( Ya Veta ) isiwekwe pamoja na Elimu ya Sekondari yaani mfano haya Madarasa yanayo jengwa mapya kwa nini yasiwekwe hata madarasa mawili ya elimu ya veta ili mtu anapo maliza kidato cha nne au sita anakua ana ujuzi tayari na hata kama elimu ya sekondari anakua hajafanya vizuri tayari ujuzi unakuwepo na anaweza endelea kujiajiri badala ya kwenda veta kuanza upya.