kichekoh
JF-Expert Member
- Sep 19, 2015
- 1,166
- 1,383
- Thread starter
- #61
Labda nikueleze kwa nini sun na moon tunazihesabu kama Planets na sio other celestial bodies.Kwa nini jua liwe sayari na si nyota?
Clearly jua ni nyota inayozungukwa na sayari. Na mwezi ni satellite inayozunguka dunia. Na dunia ni sayari inayozunguka jua.
Kwa nininuziite zote hizi sayari wakati nenonsayari lina maana yake specific?
Nikisema astrology ni primitive astronomy kama alchemy ilivyo primitive chemistry nitakuwa nakosea?
Ni hivi; kwenye astrology jua linafanya transit kama zinavyofanya sayari zingine. Yaani zinashift kutoka sign moja kwenda nyingine na zina move kutoka one house to the next house. Kwa sasa jua lipo katika sign ya Cancer (kaa) ambayo siku 3 mbele jua linajiandaa kuingia katika sign ya Leo (Simba).
Na mwezi nao unashift kama zinavyoshift katika sayari nyingine.
Halafu ujue kwamba ilianza astrology kisha ikafuata astronomy.