Elimu ya Tanzania ni pasua kichwa

Elimu ya Tanzania ni pasua kichwa

Smith Rowe

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2018
Posts
4,513
Reaction score
9,553
Wasalamu wana JF

Hivi hii nchi imekuja kuwaje tena
Mbona kila sekta hakuna ajira

Ngoja nirudi kwenye mada

Nina kaka yangu mmoja hivi ana gamba la masters ya Public Administration from Mzumbe university mwaka wa tatu kama sio wa nne huu toka amalize lakini hajawahi kubahatika kupata ajira kabisa.

Ame zunguka na bahasha ya kaki mkononi na amepigwa na jua vya kutosha, akaona ajiajiri lakini bado akatoka kapa biashara aiendi wala nini maji yakamfika shingoni.

Naona sahivi amerudisha majeshi nyumbani kweli Dar kugumu

Sasa juzi juzi hapa kaitwa kwenye interview moja lakini hiyo kazi daaah kwa akili ya kawaida tuu take home haizidi 350k

Nikiwa sijakaa sawa ndugu yangu wa mbali amesoma afya hana ajira kila siku ananiomba buku ya vocha hivi haya maisha yamekuja kuwaje
(MAGU MUNGU ANAKUONA)

Nikiwa sijajisahau ninavyo piga msuli wa PCB kwa nguvu zote hizi nikaja kukosa ajira itakuwaje ?
Ngoja nianze kuchanga hizi buku buku na pocket money nikimalizana na elimu nifuge hata kware.
 
Kama sekta binafsi hai perform unategemea nini, sekta binafsi ndo inatakiwa iajiri watu wengi zaidi kuliko serikali. Uwekezaji mkubwa kwenye sekta mbalimbali za uchumi ikiwemo kilimo unatakiwa ili kukuza ajira
 
Wasalamu wana JF

Hivi hii nchi imekuja kuwaje tena
Mbona kila sekta hakuna ajira

Ngoja nirudi kwenye mada

Nina kaka yangu mmoja hivi ana gamba la masters ya Public Administration from Mzumbe university mwaka wa tatu kama sio wa nne huu toka amalize lakini hajawahi kubahatika kupata ajira kabisa.

Ame zunguka na bahasha ya kaki mkononi na amepigwa na jua vya kutosha, akaona ajiajiri lakini bado akatoka kapa biashara aiendi wala nini maji yakamfika shingoni.

Naona sahivi amerudisha majeshi nyumbani kweli Dar kugumu

Sasa juzi juzi hapa kaitwa kwenye interview moja lakini hiyo kazi daaah kwa akili ya kawaida tuu take home haizidi 350k

Nikiwa sijakaa sawa ndugu yangu wa mbali amesoma afya hana ajira kila siku ananiomba buku ya vocha hivi haya maisha yamekuja kuwaje
(MAGU MUNGU ANAKUONA)

Nikiwa sijajisahau ninavyo piga msuli wa PCB kwa nguvu zote hizi nikaja kukosa ajira itakuwaje ?
Ngoja nianze kuchanga hizi buku buku na pocket money nikimalizana na elimu nifuge hata kware.
Masters sio elimu ya kutafuta ajira Ni elimu ya kutengeneza ajira kwa la saba , ftc, diploma, graduates etc.
 
maisha yamekuwa ka yalivyo, kwa mtazamo wangu tatizo lipo kwenye mtaala wa elimu
 
Masters sio elimu ya kutafuta ajira Ni elimu ya kutengeneza ajira kwa la saba , ftc, diploma, graduates etc.
Kujiajiri sidhani ni kirahisi kama maneno yanavyosemwa na aliyesoma afya naye ajiajiri?
Na nadhani hawakuwa na mawazo ya kujiajiri wote
 
Haya malalamiko hayatoisha kama wasomi watarajiwa hawatoambiwa ukweli. Zama za kusoma kisa ajira flani inalipa ni kama hazipo tena. Soma ukijua hiyo elimu utakayoipata itakufikisha wapi au la bhasi iendane na zile natural abilities zako ili kiasi flani uwe competitive kwenye soko. Soko la ajira limezidiwa nguvu na hivyo kupata kazi inabidi uwe na zaidi ya G.P.A. Kuna likizo za chuo ambazo ni ndefu u ukiachilia mbali muda ambao wengi wanakuwa loose loose tu, Huo muda ni mzuri kujiongeza kibiashara, kujifunza soft skills na kutengeneza network.

Tatizo la tuliopitia chuoni ambalo na mimi nilikuwa nalo, unalilila kupata free time ili ukafidishie usingizi ulioupoteza katika kucheza game, kuangalia movie na series, kukaa na multiple patners, kula bata na kufanya upuuzi mwingi ambao wote unauacha chuoni. Ukiingia mtaani ndipo unaanza kuwakumbuka wale jamaa mliokuwa mnawaona washamba na walugaluga kwa kuutumia muda wao vizuri, unatamani upate contacts zao japo wakuoneshe ni nini cha kufanya lakini ndio inakuwa too late.

serikali ilaumiwe kwa kutoajiri, wazazi walaumiwe kwa kutotupa misingi ya kuendana na wakati wetu lakini nasi tulaumiwe kwa kutotumia akili na muda wetu vizuri tukiwa vyuoni.
 
Haya malalamiko hayatoisha kama wasomi watarajiwa hawatoambiwa ukweli. Zama za kusoma kisa ajira flani inalipa ni kama hazipo tena. Soma ukijua hiyo elimu utakayoipata itakufikisha wapi au la bhasi iendane na zile natural abilities zako ili kiasi flani uwe competitive kwenye soko. Soko la ajira limezidiwa nguvu na hivyo kupata kazi inabidi uwe na zaidi ya G.P.A. Kuna likizo za chuo ambazo ni ndefu u ukiachilia mbali muda ambao wengi wanakuwa loose loose tu, Huo muda ni mzuri kujiongeza kibiashara, kujifunza soft skills na kutengeneza network.

Tatizo la tuliopitia chuoni ambalo na mimi nilikuwa nalo, unalilila kupata free time ili ukafidishie usingizi ulioupoteza katika kucheza game, kuangalia movie na series, kukaa na multiple patners, kula bata na kufanya upuuzi mwingi ambao wote unauacha chuoni. Ukiingia mtaani ndipo unaanza kuwakumbuka wale jamaa mliokuwa mnawaona washamba na walugaluga kwa kuutumia muda wao vizuri, unatamani upate contacts zao japo wakuoneshe ni nini cha kufanya lakini ndio inakuwa too late.

serikali ilaumiwe kwa kutoajiri, wazazi walaumiwe kwa kutotupa misingi ya kuendana na wakati wetu lakini nasi tulaumiwe kwa kutotumia akili na muda wetu vizuri tukiwa vyuoni.
Hakika tunatakiwa tuwe out of the box
Wengi wanawaza baada ya chuo watakuwa kwenye AC
 
Back
Top Bottom