Hapa tunazungumzia facts miaka ya nyuma mwanafunzi walikuwa ni manual generation wa sasa ni automatic kila kitu walikuwa wanajifunza kivitendo mfano lasaba wa zamani wengi kuandika barua aina zote wengi walijua tena vizuri ,kuiweka chati ya table wengi walijua ,kuandika nsha wengi walijua,kulima bustani wengi walijua,utangaji wa mashairi wengi walijua tena vizuri to fauti na sasa .automatic generation ukienda shule unapewa fedha ya kula tena unabembelezwa miaka hiyo asubuhi na mapema shule anatembea umbali mrefu kwa mguu tena wengine peku,viboko vya maana kutoka kwa waalimu ukichelewa na namba lazima reasoning capacity iwe juu kwa life aina ile ni jkt toshaNdugu WATANZANIA UNAFIKI TUTAACHA LINI, kwa hiyo waliosama 80s, reasoning yao iko juu