Elimu ya Tanzania haipo kumsaidia Mtanzania kufikia ndoto yake

Akidu

Member
Sep 19, 2022
47
76
Hakika hili limekuwa ni gumzo kati ya miaka kadhaa ya nyuma mpaka sasa ambapo elimu ambayo imekuwa ikitolewa haina mashiko ya kumnufaisha muhusika kufikia kile anachokipambania ni kwasababu elimu inayotolewa imejikita zaidi katika kupima uwezo wa kukalili kile kilichoandikwa na sio uwezo wa uelewa wa nadharia ya vitendo kwa mwanafunzi anayehitajia elimu hiyo lakini hata kwa walimu wanaotoa elimu hiyo wamerithi kama wanavyorithisha kukariri kile kilichoandikwa

Kwa masikitiko makubwa imepelekea kudidimia na kupotea kwa radha halisi ya mustakabari wa elimu yetu

Ikiwa serikali italipembua na kuritafakari hili basi kwa umoja wetu tutapiga hatua zaidi ya kasi ya roketi angani.

Kwani ipo dhahiri kuwa hatuwezi kuyafikia malengo ikiwa uwezo wetu wa kufikiri upo chini zaidi ya uwezo wa kukalili mwandishi mmoja aliwahi kusema

"Ukiruhusu akili ndogo kuitawala akili kubwa utaambulia mabua"
 
Aisee umesema kweli kabisa na wewe ni mfano halisi wa victims wa elimu yetu mbovu! Hata kiswahili kinakushinda kuandika. Pole sana.
wale wale ankooooo nawe kumbe ni zero brain usikute hata hilo lenyewe umekariri
 
Na wewe pia ni mhanga wa hii elimu.
Unajua mimi nimesoma wapi na niko wapi? Kinachokufanya useme hivyo ni nini? Mimi nimesema hivyo kwa sababu umeshindwa kuandika maneno ya kiswahili. Usinielewe vibaya lakini. Hoja yako ni nzuri na imejaa ukweli mtupu. Tanzania wanafunzi wanakaririshwa badala ya kusomeshwa.
 
Hakika hili limekuwa ni gumzo kati ya miaka kadhaa ya nyuma mpaka sasa ambapo elimu ambayo imekuwa ikitolewa haina mashiko ya kumnufaisha muhusika kufikia kile anachokipambania ni kwasababu elimu inayotolewa imejikita zaidi katika kupima uwezo wa kukalili kile kilichoandikwa na sio uwezo wa uelewa wa nadharia ya vitendo kwa mwanafunzi anayehitajia elimu hiyo lakini hata kwa walimu wanaotoa elimu hiyo wamerithi kama wanavyorithisha kukariri kile kilichoandikwa

Kwa masikitiko makubwa imepelekea kudidimia na kupotea kwa radha halisi ya mustakabari wa elimu yetu

Ikiwa serikali italipembua na kuritafakari hili basi kwa umoja wetu tutapiga hatua zaidi ya kasi ya roketi angani
Kwani ipo dhahiri kuwa hatuwezi kuyafikia malengo ikiwa uwezo wetu wa kufikiri upo chini zaidi ya uwezo wa kukalili mwandishi mmoja aliwahi kusema
"Ukiruhusu akili ndogo kuitawala akili kubwa utaambulia mabua"
we km umeshindwa kusoma ni uzembe wako usiuoneze kwa watu, ulitaka ukombozi wa aina gani we kima. Madaktari wanaotibu hospitalini ni waganga wa kienyeji au ni wasomi, na wahandisi huwaoni, je hata wahasibu huwaoni, walimu je, wataalam wote hao wanaoendesha nchi bado unaandika upupu wa namna hii? Jomba kaa kimya watu wanajenda nchi yao kutumia elimu waliyo nayo.
 
Hakika hili limekuwa ni gumzo kati ya miaka kadhaa ya nyuma mpaka sasa ambapo elimu ambayo imekuwa ikitolewa haina mashiko ya kumnufaisha muhusika kufikia kile anachokipambania ni kwasababu elimu inayotolewa imejikita zaidi katika kupima uwezo wa kukalili kile kilichoandikwa na sio uwezo wa uelewa wa nadharia ya vitendo kwa mwanafunzi anayehitajia elimu hiyo lakini hata kwa walimu wanaotoa elimu hiyo wamerithi kama wanavyorithisha kukariri kile kilichoandikwa

Kwa masikitiko makubwa imepelekea kudidimia na kupotea kwa radha halisi ya mustakabari wa elimu yetu

Ikiwa serikali italipembua na kuritafakari hili basi kwa umoja wetu tutapiga hatua zaidi ya kasi ya roketi angani
Kwani ipo dhahiri kuwa hatuwezi kuyafikia malengo ikiwa uwezo wetu wa kufikiri upo chini zaidi ya uwezo wa kukalili mwandishi mmoja aliwahi kusema
"Ukiruhusu akili ndogo kuitawala akili kubwa utaambulia mabua"
kukalili ni nini? we kweli choka mbaya
 
Hakika hili limekuwa ni gumzo kati ya miaka kadhaa ya nyuma mpaka sasa ambapo elimu ambayo imekuwa ikitolewa haina mashiko ya kumnufaisha muhusika kufikia kile anachokipambania ni kwasababu elimu inayotolewa imejikita zaidi katika kupima uwezo wa kukalili kile kilichoandikwa na sio uwezo wa uelewa wa nadharia ya vitendo kwa mwanafunzi anayehitajia elimu hiyo lakini hata kwa walimu wanaotoa elimu hiyo wamerithi kama wanavyorithisha kukariri kile kilichoandikwa

Kwa masikitiko makubwa imepelekea kudidimia na kupotea kwa radha halisi ya mustakabari wa elimu yetu

Ikiwa serikali italipembua na kuritafakari hili basi kwa umoja wetu tutapiga hatua zaidi ya kasi ya roketi angani
Kwani ipo dhahiri kuwa hatuwezi kuyafikia malengo ikiwa uwezo wetu wa kufikiri upo chini zaidi ya uwezo wa kukalili mwandishi mmoja aliwahi kusema
"Ukiruhusu akili ndogo kuitawala akili kubwa utaambulia mabua"
we kweli shida, hizo paragraph chache tu umeshindwa kuandika ukaeleweka. We ndio umeshindwa kuipata elimu usitafute kuungwa mkono ktk ujinga wako huo
 
Kweli elimu yetu ina dosari na hili limethibitishwa na uandishi wako mbovu mifano hio apo chini
Mhusika sio muhusika
Kukariri sio kukalili
Ladha sio radha
Kulitafakari sio kuritafakari
 
Unajua mimi nimesoma wapi na niko wapi? Kinachokufanya useme hivyo ni nini? Mimi nimesema hivyo kwa sababu umeshindwa kuandika maneno ya kiswahili. Usinielewe vibaya lakini. Hoja yako ni nzuri na imejaa ukweli mtupu. Tanzania wanafunzi wanakaririshwa badala ya kusomeshwa.
Asante kutokana na wingi wa hisia za maumivu nimeshindwa kumalizia paragraph za mbele nikiwa sawa ntatiririka mzeeeee
 
Kweli elimu yetu ina dosari na hili limethibitishwa na uandishi wako mbovu mifano hio apo chini
Mhusika sio muhusika
Kukariri sio kukalili
Ladha sio radha
Kulitafakari sio kuritafakari
Ni katika mifano anuwai ya kulithibitisha hilo mzeeee
 
we kweli shida, hizo paragraph chache tu umeshindwa kuandika ukaeleweka. We ndio umeshindwa kuipata elimu usitafute kuungwa mkono ktk ujinga wako huo
Wajinga tupo wengi weredi ni wale wasiohusika katika kuandika chochote katika hili asante kwa maoni yenye umaridadi kwenye hakuna
 
we km umeshindwa kusoma ni uzembe wako usiuoneze kwa watu, ulitaka ukombozi wa aina gani we kima. Madaktari wanaotibu hospitalini ni waganga wa kienyeji au ni wasomi, na wahandisi huwaoni, je hata wahasibu huwaoni, walimu je, wataalam wote hao wanaoendesha nchi bado unaandika upupu wa namna hii? Jomba kaa kimya watu wanajenda nchi yao kutumia elimu waliyo nayo.
Hujaelewa kilichoandikwa kutokana na matokeo ya elimu uliyopewa pole rudia kusoma utaelewa
 
Akili kubwa hujadili mawazo, akili wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu, huu mfumo duni wa elimu ndio uliozalisha hawa wajuaji wanaokosoa ukiwemo na wewe, mfumo hauwezi kuwa bora kama anayefundishwa hauthamini huo mfumo, kuna watu wamesoma nchi zenye mifumo bora lakini mpaka leo hawana cha maana walichofanya na hiyo elimu yao waliyoipata huko kwenye elimu bora.
 
Wengine tumetoboa kwa elimu hiyo hiyo, mafanikio hayaji kwa elimu tu, zipo factors zingine zinazochangia kufikia mustakabali wako wa kuingia kanaan.
Hata Uwe umesoma Harvard harafu uje uishi bongo! Midumo yenyewe haitakupa nafasi ya kutoka! Ukianzisha tovuti,unakutana na tozo za tcra!
 
Back
Top Bottom