Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
wadau mimi kwa mtazamo wangu hii elimu ya msingi haiendi na wakati na ni upotezaji wa muda.
Hata wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hawana walicchokipata zaidi ya kuongeza miaka. Wanajamii mnasemaje?
Hata wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hawana walicchokipata zaidi ya kuongeza miaka. Wanajamii mnasemaje?