nasikia eti ni undergraduate wa L.L.B pale udsm?
Undergraduate au graduate?
Me mwenywe nmemshangaa.. afu kuna post moja alisema anasoma masters sweden. hahaa Zero brain uyo.
huyu kilaza unaamini upuuzi anaoongea?! Kaz ku2mia masaburi 2 kufikiria, hili jukwaa linahitaji mod yule wa kwenye siasa asee
graduate
You must be Joking, Are u 4 fckn real?? Hivi hamna unalowazaga zaidi ya UD? Men i say this 4 everyone in here GO GET A FCKN LIFE
movz na series znaharibu watu
Naomba nifahamishwe ni nini tofauti ya Undergraduate,Graduate and Postgraduate,nimewahi msikia Kikwete akisema Taasisi ya Nelson Mandela Arusha ni Graduate School akimaanisha kinachotolewa hapo ni Stashahada za uzamili,shahada za uzamili na shahada za uzamivu.
You must be Joking, Are u 4 fckn real?? Hivi hamna unalowazaga zaidi ya UD? Men i say this 4 everyone in here GO GET A FCKN LIFE
You must be Joking, Are u 4 fckn real?? Hivi hamna unalowazaga zaidi ya UD? Men i say this 4 everyone in here GO GET A FCKN LIFE
Mi nimesikia ni Profesa wa Vifonasikia eti ni graduate wa L.L.B pale udsm?
small minds discuss people,great minds discuss ideas.so jipangex100