bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Hii issue ya elimu bure kwa vyuo vikuu ni dhana ya wajerumani na lengo lao ni kivutia wasomi kitoka nje ambao wanaleta fedha za kogeni.
UKAWA wanacopy na kupaste tu bila analysis!
Elimu bure afya bure huku ukitegemea wahisani ni upuuzi na sio mabadiliko.
Wala msijihangaishe kubishana na ukiwa, hatuwapi nchi.
... Inapangwaje??Wacha kuishi maisha ya enzi za mawe! Inaonekana hata hujui ni nini maana ya bajeti na inavyopangwa
Umezaliwa kijijini ukaletwa Dar, mambo ya duania utayajulia wapi? Tupo wengi tuliosoma nje ya Tanzania vyuo vikuu bure!sio rahisi kiivo unavoongea ndugu, nchi matajiri duniani na wenye mipango iliyoenda shule mara milioni 100 ya kilaza wa sanaa fisadi lowasa hawatoi elimu bure mpaka chuo kikuuu!!!!. Kwa hiyo hii inadhiirisha mgombea wa ukawa fisadi lowasa ni wa kuogopwa kama ukoma maana hana dhamira safi na maendeleo endelevu ya nchi yetu Tanzania
Wala msijihangaishe kubishana na ukiwa, hatuwapi nchi.
... Inapangwaje??
Kutoa elimu bure kwa mchanganuo usioleweka na usio na ukweli!... Kusanya pesa kwanza kabla ya kuzipangia!
Hata kama ni kuichoka ccm ndio kunatufanya hata tushindwe kufikiri au ndo kila tunaloambiwa ndio mzee kana kwamba sisi hatuna ubongo wa kufikiri.
Umezaliwa kijijini ukaletwa Dar, mambo ya duania utayajulia wapi? Tupo wengi tuliosoma nje ya Tanzania vyuo vikuu bure!
haa haa hakuna chama kinachoongoza kudanganya wananchi wakati wa uchaguzi kama ccm. nitatoa mifano ifuatayo: mwaka 2005 rais kikwete aliwahaidi watanzania kwamba tanzania itakuwa ni nchi ya viwanda. je leo hali ikoje? pia ni rais kikwete aliyewahaidi watanzania maisha bora kwa kila mtanzania. je yako wapi? zaidi ya marafiki na ndugu kugawiwa vyeo kama njugu? mbaya zaidi maghufuli anahaidi mambo yaleyale. hakuna jipya zaidi ya ulaghai..
uk na usa , hakuna shule ya bure. Nchi za Scandinavia gharama za chuo zinachangiwa na serikali na penyewe bado kuna baadhi ya gharama inabidi mwanafunzi agharimie. Kwa hiyo ukweli upo palepale Lowasa fisadi anatuona watoto wadogo na kwamba anaweza kuongea tu maneno ya uwongo na kuwa raisi
Wala msijihangaishe kubishana na ukiwa, hatuwapi nchi.
Ndugu wana JF leo gazeti la Nipashe limetoa mchanganuo wa gharama za Elimu ambazo Lowassa anasema anaweza kuzikabili na hatimaye watanzania wakasoma bure hadi chuo kikuu . Ingawa naipenda Ukawa lakini dosari hizi za wazi katika kuchanganua mambo hazipaswi ziachwe bila kutolewa tahadhari ili mgombea wetu wa Ukawa apate kuaminiwa kwa kile anachokisema.
Kiukweli upembuzi ule umeacha maswali mengi bila majibu huku nikihoji uwezo wa serikali ya Ukawa kutoa Elimu hiyo bure kwa ngazi zote za Elimu kuanzia chekechea. Gharama za Elimu ya juu pekee ni 6% ya budget ya 2014/2015. Na ukweli hizo ni fedha za kujikimu za wanafunzi 300,000 tu kwa mwanafunzi mmoja kupewa TZS 4.5m. Hapo hatujazingatia mishahara ya waalimu, tuition fees na vifaa vya kufundishia. Katika hali hii ni dhahira serikali itaelemewa na kutoa bora elimu kuliko elimu bora. Mzigo huo wa gharama ya elimu ukijumlishwa na shule za sekondari, msingi na chekechekea ni dhahiri elimu itachukua zaidi ya asilimia 20 ya budget ya nchi. Kama hii itakuwa hivyo ni dhahiri sekta nyingi muhimu zitaathirika na kupunguz a ufanisi wa serikali.
Tunahitaji majibu kutoka kwa ukawa kama kweli hii sera inaweza kutelezeka na kwa namna gani. Tusifanye masihara na hili. Lakini lazima watueleze kuhusu Tertiary Education nayo itakuwa buree au vipi?