bob_fundi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2025
- 447
- 690
Habari wana JF
Huu mkondo wa amali unatofauti gani na zile shule za ufundi?
mm nimeona shule za ufundi mapegunzuziwa masomo kama history na geography hivi wajikite zaidi kweny vitendo.
Sasa huu mkondo wa amali kama utakuwa unatofauti na ule wa shule za ufundi. ipo wap Tena sifa za kujiunga na shule za ufundi kama moshi,Tanga,ifunda,iyunga,musoma,mtwara na bwiru technical.
kwa mm ninavyo elewa huwa niwanafunzi wanao fanya vizuri ki wilaya wanao kuwa nafasi kati 4 mpk 6 hao ndio wanaenda hizo shule hapo.
Naomba anaye elewa zaidi ya hapo anipe mchango wake.
Huu mkondo wa amali unatofauti gani na zile shule za ufundi?
mm nimeona shule za ufundi mapegunzuziwa masomo kama history na geography hivi wajikite zaidi kweny vitendo.
Sasa huu mkondo wa amali kama utakuwa unatofauti na ule wa shule za ufundi. ipo wap Tena sifa za kujiunga na shule za ufundi kama moshi,Tanga,ifunda,iyunga,musoma,mtwara na bwiru technical.
kwa mm ninavyo elewa huwa niwanafunzi wanao fanya vizuri ki wilaya wanao kuwa nafasi kati 4 mpk 6 hao ndio wanaenda hizo shule hapo.
Naomba anaye elewa zaidi ya hapo anipe mchango wake.