Elimu ya A-level inahitaji marekebisho

Elimu ya A-level inahitaji marekebisho

Kama haiwasaidii kwanini iwepo?

kwanini usingeshauri A-level ifutwe kabisa?.

Ukitoka O-level chuo kikuu
 
Eyce,

Kutafuta best talents....ni mpaka hapo mshahara wa walimu uwe juu sawa na mahakimu,wahasibu etc..ndipo ualimu uta attract watu makini...lol..hili swala liko complicated kidogo.hata watu wenye best talents hawatumiki ipasavyo kutokana na maslahi duni...mtu kama Ras Simba sijui kwa nini serikali haimchomoi huko aliko afundishe walimu kadhaa stratergies zake anazotumia kufundisha English ,tukawa na ma Ras Simba kibao......??.mnhhhhhh....

😂😂😂 sio hivyo sister, katika kipindi kama hiki ambacho ajira hakuna, obviously employer ambaye ni serikali ana nafasi kubwa ya kupata watu walio vizuri ikiamua tofauti na kufanya random selection. Sipingi maslahi muhimu ila tatizo la ajira tayari ni advantage kwa serikali
 
Good idea lakini kikubwa mfumo uwekwe wa kutafuta best talents katika ualimu. Selection proper ipite ikiwezekana wawekewe grading system kutokana na competencies zao ili iwe rahisi katika kuwaajiri.

kingine kuna masomo kama basic economics, business, improved civics, ICT and other soft skills yahimizwe kuanzia O'level maana ndipo dunia inaelekea.. Sijui hata hizi Wizara zinafanya nini kiukweli
Waliopewa hiyo dhamana wanawaza matumbo yao tu
 
Kwa uzoefu wangu mpaka sasa, nimegundua tatizo la elimu yetu halipo kwenye mitaala bali lipo kwenye utekelezaji wa hiyo mitaala. Mfano wanafunzi hawasomi namna ya kufanya practicals ila wanajifunza kufoji ingawa mitaala imeeleza vizuri namna wanavyotakiwa kujifunza hizo practicals. Sasa baadae mwanafunzi akishindwa wanaanza kusingizia mitaala. Hasa shule zetu za kata ndio zinaongoza kwa kutofuata mitaala, Wanafunzi wanajisomea hovyo hovyo tu.

Elimu ya A level ni kwa ajili ya maandalizi ya kwenda hatua nyingine mbele na sio kuishia hapo, nchi ambazo hazina A level basi lazima mwaka wa kwanza chuo utumike kuwafundisha wanafunzi kozi ambazo walizikosa kwa kutosoma A level. General studies ya A level iko vyema katika kupanua uelewa wa mambo mengi lakini wanafunzi wanaichukulia poa, sasa hapo tatizo la mitaala lipo wapi?.
 
Kwa uzoefu wangu mpaka sasa, nimegundua tatizo la elimu yetu halipo kwenye mitaala bali lipo kwenye utekelezaji wa hiyo mitaala. Mfano wanafunzi hawasomi namna ya kufanya practicals ila wanajifunza kufoji ingawa mitaala imeeleza vizuri namna wanavyotakiwa kujifunza hizo practicals. Sasa baadae mwanafunzi akishindwa wanaanza kusingizia mitaala. Hasa shule zetu za kata ndio zinaongoza kwa kutofuata mitaala, Wanafunzi wanajisomea hovyo hovyo tu.

Elimu ya A level ni kwa ajili ya maandalizi ya kwenda hatua nyingine mbele na sio kuishia hapo, nchi ambazo hazina A level basi lazima mwaka wa kwanza chuo utumike kuwafundisha wanafunzi kozi ambazo walizikosa kwa kutosoma A level. General studies ya A level iko vyema katika kupanua uelewa wa mambo mengi lakini wanafunzi wanaichukulia poa, sasa hapo tatizo la mitaala lipo wapi?.
Hilo la kufoji prac kwa wanafunzi wengi wanatumia kama mserereko yaani elimu yetu inazingatia sana ufaulu wa kwenye makaratasi
 
Back
Top Bottom