Elimu ya A-level inahitaji marekebisho

Elimu ya A-level inahitaji marekebisho

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Hello JF,

Muundo wa A-level nilikuwa naona uweze kufanya link from lower secondary to university. Namaanisha masomo ya A-level yawe kama msingi wa masomo ya university.

I understand kuna masomo kama udaktari ni impossible kuyasomea A-Level. Ila masomo mengine mengi tu ya chuo kikuu yanaweza kufundishwa kwenye secondary.

Masomo kama Accounting, Business, Psychology, Environmental Science yanaweza kufundishwa ngazi ya A-level. Hii itatoa watu/wasomi competent na wenye kujiamini.

Sio sasa hivi watu/wazazi wanaona kumpeleka mtoto A-level ni kupoteza muda. Kuna mahali kama taifa tunafeli.
 
Ni wazo zuri sister ila ukiangalia hata shule ya msingi kwenda O'level vitu vingi vimebadilishwa lugha tu. Kama kuna reforms muhimu basi ni kuibadili elimu kuwa competence based na hili litafanikiwa kama tutaangalia zaidi quality katika kupima maendeleo ya kielimu kuliko viwango vya ufaulu na idadi ya wanafunzi; hivi vyote havina impacts sana
 
Hayo unayotaka mbona yapo, ni chaguo la mwanafunzi mwenyewe apitie stashahada au A-level kwenda somea shahada yoyote.
 
Hayo unayotaka mbona yapo, ni chaguo la mwanafunzi mwenyewe apitie stashahada au A-level kwenda somea shahada yoyote.

Mkuu hili ni tatizo la kimfumo lisiachwe kwa uchaguzi wa mwanafunzi..shule za secondary zifundishe courses ambazo ziko relevant kama vyuo vya private...au mkuu unaona sawa wanafunzi kila mwaka wanaingia A-level kusoma vitu ambavyo havitawasaidia kwenye career zao? huu mfumo naona ubadilike ….
 
Utaratibu wa A level hapa Tanzania ni utaratibu mzuri sana na uendelezwe isiwe kama Kenya ambapo kidato cha nne anaenda moja kwa moja Chuo Kiuu. Naona hawa wana mapungufu.
 
Ni wazo zuri sis ila ukiangalia hata shule ya msingi kwenda O'level vitu vingi vimebadilishwa lugha tu. Kama kuna reforms muhimu bhasi ni kuibadili elimu kuwa competence based na hili litafanikiwa kama tutaangalia zaidi quality katika kupima maendeleo ya kielimu kuliko viwango vya ufaulu na idadi ya wanafunzi; hivi vyote havina impacts sana

Uko sahihi bro,nachohisi hakuna system ya feedback/ evaluations. Inafaa au ingependeza wanafunzi na waliokuwa wanafunzi(Former students)..kutoa their expectations and their experiences ..na anaetunga syllabus anaangalia soko la ajira linahitaji nini then anabalance expectations/experiences/demand..hapo ndio anatunga Syllabus..lol
 
Mimi wazo langu ni wapunguze madarasa ya primary level na moja la ordinary level. Kuna mambo mengi tu ya Olevel ni marudio ya walichojifunza Primary level utofauti ni lugha tu. Hayo wachague moja either yafundishwe primary peke yake au Olevel peke yake kuliko kurudia rudia ni kupoteza muda wa mtu kukaa shuleni miaka mingi.
 
Uko sahihi bro,nachohisi hakuna system ya feedback/evaluations...inafaa au ingependeza wanafunzi na waliokuwa wanafunzi(Former students)..kutoa their expectations and their experiences ..na anaetunga syllabus anaangalia soko la ajira linahitaji nini then anabalance expectations/experiences/demand..hapo ndio anatunga Syllabus..lol

Good idea lakini kikubwa mfumo uwekwe wa kutafuta best talents katika ualimu. Selection proper ipite ikiwezekana wawekewe grading system kutokana na competencies zao ili iwe rahisi katika kuwaajiri.

kingine kuna masomo kama basic economics, business, improved civics, ICT and other soft skills yahimizwe kuanzia O'level maana ndipo dunia inaelekea.. Sijui hata hizi Wizara zinafanya nini kiukweli
 
Eyce,

Kutafuta best talents ni mpaka hapo mshahara wa walimu uwe juu sawa na mahakimu,wahasibu etc. Ndipo ualimu uta attract watu makini. Hili suala liko complicated kidogo.hata watu wenye best talents hawatumiki ipasavyo kutokana na maslahi duni.

Mtu kama Ras Simba sijui kwa nini serikali haimchomoi huko aliko afundishe walimu kadhaa stratergies zake anazotumia kufundisha English ,tukawa na ma Ras Simba kibao?

mnhhhhhh.
 
Mkuu hili ni tatizo la kimfumo lisiachwe kwa uchaguzi wa mwanafunzi..shule za secondary zifundishe courses ambazo ziko relevant kama vyuo vya private...au mkuu unaona sawa wanafunzi kila mwaka wanaingia A-level kusoma vitu ambavyo havitawasaidia kwenye career zao?? huu mfumo naona ubadilike ….
Una wazo nzuri keep pushing, mkuu
 
Back
Top Bottom