Elimu na uongozi wa Serikali za Mitaa

Elimu na uongozi wa Serikali za Mitaa

marashi ya pwani

Senior Member
Joined
Sep 30, 2024
Posts
125
Reaction score
141
Chadema wanataka mtu asiyekuwa na elimu ya form six kuendelea asichukue form ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi wa serikali za mitaa

Lakini imekuwa tofauti kwa watesi wao kusoma na kuandika inatosha kuchukua form

Sasa wenzangu na sie chadema kindaki ndaki elimu changamoto ila tunakubarika mtaani ndio tuache ipite mpaka au Kuna mabadiriko?

AHSANTE
 
Hawathubutu kusema hivyo.Lema, Sugu na wengine wengi wangekuwa,hawana sifa ya kugombea Uenyekiti wa mtaa sembuse ubunge.Na wanavyopenda ruzuku sidhani itatokea.
 
Back
Top Bottom