Shingamagadi
Member
- Jul 12, 2018
- 37
- 29
Habari za majukumu ya hapa na pale wanajukwaa.
Kuna tangazo la kazi la UNCRD lilikua likizunguka katika mitandao ya kijamii hususani whats up ambalo lilikua likitangaza ajira kupitia kada tofauti tofauti za taaluma.
Nilikua naomba msaada mwenye uelewa wa hayo mambo maana mimi ni mmoja wao niliotuma maombi na mpaka kufikia hatua ya kupewa offer ya ajira.sasa hofu yangu ni kwamba inawezekanaje kupewa offer huku hata interview sijafanya na wao wanagharamia kila kitu hadi ticket za kwenda huko marekani.
naomba elimu juu ya hili ili na wengine waliokatika mtego huo tujue ni nini kilicho nyuma ya pazia.
Kuna tangazo la kazi la UNCRD lilikua likizunguka katika mitandao ya kijamii hususani whats up ambalo lilikua likitangaza ajira kupitia kada tofauti tofauti za taaluma.
Nilikua naomba msaada mwenye uelewa wa hayo mambo maana mimi ni mmoja wao niliotuma maombi na mpaka kufikia hatua ya kupewa offer ya ajira.sasa hofu yangu ni kwamba inawezekanaje kupewa offer huku hata interview sijafanya na wao wanagharamia kila kitu hadi ticket za kwenda huko marekani.
naomba elimu juu ya hili ili na wengine waliokatika mtego huo tujue ni nini kilicho nyuma ya pazia.