Ok lakini mbona mambo mengi tunayopitia masomoni nahisi kama tunapotaka kuyatumia kwenye maisha halisi ya mahusiano inashindikana. Mfano wanawke wagumu sana ku adopt mambo ambayo yamekaa kishule shule[hii inakuwaje
mhm mwana wala usichukuwe hawa dada waliokuwa magraduates...full matatizo, haki sawa kwa wote, full bbm wakati unaongea nae, mara sijui ladies nyt out ilimradi tuu vituko. bora uchukuwe wa form four mwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.