Elimu kwa mlipa kodi hakuna, TRA ni nguvu tu

Elimu kwa mlipa kodi hakuna, TRA ni nguvu tu

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,956
Reaction score
3,245
Ni lini au wapi Elimu kwa mlipa kodi inatolewa na TRA?

Siku gani TRA walishafanya kongamano au semina na kuita wafanyabiashara wadogo na wakubwa?

Swali: Ni asilimia ngapi ya NET profit unatakiwa kulipa kama kodi?

Je, TRA wanakata % kwenye Gross sale au NET profit?

Hii ni changamoto kwa Wizara ya Fedha na TRA, watch out...!
 
Tra iko bize 24/7 kukusanya kodi za Walala hoi. Kuiongezea majukumu Mengine ya uitishaji Vikao kusudi kutoa Elimu ingali kila kitu raia wanakijua ni kukosea.

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Hatari sana

Hawewezi kutoa elimu ya mlipa kodi, ili watu wakosee na Rushwa itoke
 
Ni lini au wapi Elimu kwa mlipa kodi inatolewa na TRA?

Siku gani TRA walishafanya kongamano au semina na kuita wafanyabiashara wadogo na wakubwa?

Swali: Ni asilimia ngapi ya NET profit unatakiwa kulipa kama kodi?

Je, TRA wanakata % kwenye Gross sale au NET profit?

Hii ni changamoto kwa Wizara ya Fedha na TRA, watch out...!
We utakua mkwepa kodi unatoa lawama kwa TRA kwa lengo la kuwachongea huna lolote, mbona wajasiriamali wanapewa elimu, taasisi za serikali na binafsi ebu kama una macho jaribu kugoogle basi sio unakurupuka kisa umepigwa kodi kulipa hutaki. We ulitaka elimu ipi au wewe umeifanyia nini cha maana serikali yako, nilitegemea uje uweke uzi kuwa wewe ni mlipakodi mzuri lkn kumbe umetumwa na maboss wako.
 
We utakua mkwepa kodi unatoa lawama kwa TRA kwa lengo la kuwachongea huna lolote, mbona wajasiriamali wanapewa elimu, taasisi za serikali na binafsi ebu kama una macho jaribu kugoogle basi sio unakurupuka kisa umepigwa kodi kulipa hutaki. We ulitaka elimu ipi au wewe umeifanyia nini cha maana serikali yako, nilitegemea uje uweke uzi kuwa wewe ni mlipakodi mzuri lkn kumbe umetumwa na maboss wako.

Wewe ni mlarushwa TRA, mnabambikizia watu kodi kubwa ili mpewe Rushwa.

Ole wenu, Rais alishawaonya

Iko siku mtaingia kwenye mtego

Endelea kula jasho LA watu
 
ART huwa wananichekesha sana. Ukifungua kampuni leo wanakukadilia mapato wanakata chao. Ukisikia mamburura ndo hawa jamaa. Sasa unajiuliza mimi sijaanza uzalishaji wewe unanikadiria kodi toka wapi?. Ila ndo ivo ukishindwa kulipa wanakulima kichwa. Nina uhakika wa 80% kuna mtu alituloga watanzania wote.
 
We utakua mkwepa kodi unatoa lawama kwa TRA kwa lengo la kuwachongea huna lolote, mbona wajasiriamali wanapewa elimu, taasisi za serikali na binafsi ebu kama una macho jaribu kugoogle basi sio unakurupuka kisa umepigwa kodi kulipa hutaki. We ulitaka elimu ipi au wewe umeifanyia nini cha maana serikali yako, nilitegemea uje uweke uzi kuwa wewe ni mlipakodi mzuri lkn kumbe umetumwa na maboss wako.
Wewe sio mtanzania au sio mfanyabiashara au vyote viwili kwa pamoja
 
Waziri Mpango analalamika makusanyo kupungua...
 
Ni lini au wapi Elimu kwa mlipa kodi inatolewa na TRA?

Siku gani TRA walishafanya kongamano au semina na kuita wafanyabiashara wadogo na wakubwa?

Swali: Ni asilimia ngapi ya NET profit unatakiwa kulipa kama kodi?

Je, TRA wanakata % kwenye Gross sale au NET profit?

Hii ni changamoto kwa Wizara ya Fedha na TRA, watch out...!
Mkuu TRA ina wajibu wa kukusanya kodi wewe mwenyewe itafute hiyo elimu wote walioajiriwa wanakatwa kodi kwa maendeleo ya taifa.Ivi inakuwia vipi wewe kwenda TRA na kuulizia unatakiwa kulipakodi kiasi gani zaidi ya kuja kulalamika.Chukua hatua nenda ukalipe kodi tunataka kujenga nchi hasa kuimarisha barabara, umeme, maji na huduma za jamii kama elimu na afya hivi vyote haviwezi kufanyika bila kulipa kodi.Kikubwa unatakiwa kutambua wewe siyo mlipa kodi anayelipa kodi ni mnunuzi so wewe ni mkusanyaji tu (ukiwa na biashara wewe ni mkusanyaji tu) hivyo ulizokusanya zipeleke TRA usifanye ni zako.Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi
 
Mkuu TRA ina wajibu wa kukusanya kodi wewe mwenyewe itafute hiyo elimu wote walioajiriwa wanakatwa kodi kwa maendeleo ya taifa.Ivi inakuwia vipi wewe kwenda TRA na kuulizia unatakiwa kulipakodi kiasi gani zaidi ya kuja kulalamika.Chukua hatua nenda ukalipe kodi tunataka kujenga nchi hasa kuimarisha barabara, umeme, maji na huduma za jamii kama elimu na afya hivi vyote haviwezi kufanyika bila kulipa kodi.Kikubwa unatakiwa kutambua wewe siyo mlipa kodi anayelipa kodi ni mnunuzi so wewe ni mkusanyaji tu (ukiwa na biashara wewe ni mkusanyaji tu) hivyo ulizokusanya zipeleke TRA usifanye ni zako.Lipa kodi kwa maendeleo ya nchi
Ila twende sawa TRA inatakiwa itoe elimu kwa walipa kodi jambo hili halifanyiki yani mtu anapewa elimu either akiwa ofisini kwao au wakati amekamatwa na hao TRA huo sio utaratibu ni kama kuvizia
 
TRA wanalipwa mshahara kwa kodi zetu.

Pale TRA kuna mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kodi...sasa kazi yake ni nini?

Customer care ni kitu cha muhimu, pamoja na kutoa elimu kwa wananchi. Kuna watu kibao wanataka kuanzisha biashara, je TRA hawana wajibu kuhamasisha watu wapende kulipa kodi?

Kuomba rushwa ndio wajibu wao TRA, na sio kutoa elimu..!

Waziri analalamika makusanyo yanapungua, TRA wao hawana ubunifu...toeni elimu. TRA acheni kutumia nguvu
 
ART huwa wananichekesha sana. Ukifungua kampuni leo wanakukadilia mapato wanakata chao. Ukisikia mamburura ndo hawa jamaa. Sasa unajiuliza mimi sijaanza uzalishaji wewe unanikadiria kodi toka wapi?. Ila ndo ivo ukishindwa kulipa wanakulima kichwa. Nina uhakika wa 80% kuna mtu alituloga watanzania wote.

Ndiyo kanuni ilivyo duniani kote!
Motives ya kufanya biashara ni kupata faida!
Hata hivyo sheria iko wazi ikitokea umepata hasara na kwa ushahidi wa kutunza kumbukumbu basi hautalipa ile kodi ya biashara kwa kampuni ilosajiriwa!
Kwa biashara binafsi hasa wadogo hawatunzi kumbukumbu!
Ni lazima kutunza kumbukumbu za kila kitu cha biashara yako!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mlarushwa TRA, mnabambikizia watu kodi kubwa ili mpewe Rushwa.

Ole wenu, Rais alishawaonya

Iko siku mtaingia kwenye mtego

Endelea kula jasho LA watu

Correction hapo kwenye bold. Aendelee kula laana za watu.
 
sasa elimu waje nyumbani kwako kukupa ,,,na wewe umechukua hatua gani kuipata hio elimu???
 
Ndiyo kanuni ilivyo duniani kote!
Motives ya kufanya biashara ni kupata faida!
Hata hivyo sheria iko wazi ikitokea umepata hasara na kwa ushahidi wa kutunza kumbukumbu basi hautalipa ile kodi ya biashara kwa kampuni ilosajiriwa!
Kwa biashara binafsi hasa wadogo hawatunzi kumbukumbu!
Ni lazima kutunza kumbukumbu za kila kitu cha biashara yako!


Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia ipi we unaizungumzia labda tuko kwenye ulimwengu tofauti. kodi inatokana na income (mapato) na hapa ni profit ya kampuni. Hakuna kampuni ilishaanzishwa leo likapata faida baada ya miezi mi3. Unajua kuwa kampuni mpaka ipate faida huchukua hata takribani miaka miwili not guaranteed unaweza fail pia. Sasa kama hoja ni kodi na sio kujenga uchumi hapo na kubadiliana na nyny. TRA ndio yenye dhamana ya kuomba mabadiliko ya sheria ili itoe mwanya wa ukuzaji wa mitaji. Shida ni pale kazi yao sio kuimalisha uchumi kazi yao kukusanya kodi tu na ikishuka utasikia ukusanyaji umeshuka hutawasikia wakiongelea upande wa pili.
Nenda uendaka mataifa yanayojilewa hutumia kodi kama incentive ya kukuza uchumi utakaoleta maendeleo kwayo hayo ndio mapato yaongezeke.
Sasa hili ni somo kama masomo mengine sio siasa ambayo kila mtu anajiita **mchambuzi wa kisiasa**.
 
Dunia ipi we unaizungumzia labda tuko kwenye ulimwengu tofauti. kodi inatokana na income (mapato) na hapa ni profit ya kampuni. Hakuna kampuni ilishaanzishwa leo likapata faida baada ya miezi mi3. Unajua kuwa kampuni mpaka ipate faida huchukua hata takribani miaka miwili not guaranteed unaweza fail pia. Sasa kama hoja ni kodi na sio kujenga uchumi hapo na kubadiliana na nyny. TRA ndio yenye dhamana ya kuomba mabadiliko ya sheria ili itoe mwanya wa ukuzaji wa mitaji. Shida ni pale kazi yao sio kuimalisha uchumi kazi yao kukusanya kodi tu na ikishuka utasikia ukusanyaji umeshuka hutawasikia wakiongelea upande wa pili.
Nenda uendaka mataifa yanayojilewa hutumia kodi kama incentive ya kukuza uchumi utakaoleta maendeleo kwayo hayo ndio mapato yaongezeke.
Sasa hili ni somo kama masomo mengine sio siasa ambayo kila mtu anajiita **mchambuzi wa kisiasa**.

Unajua tunapaswa kujifunza kila siku !
Mimi nilichokueleza ndivyo vilivyo!
Sasa sifahamu kiwango chako cha ufahamu kuhusu maswala ya kodi,
Nimekwambia hata kama utapata hasara haina neno, system ita adjust yenyewe!
Mbona mifumo iko vizuri!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom