Elimu kulingana na malengo ya kitaifa

Shayu

Platinum Member
May 24, 2011
608
1,653
Kama elimu yetu haitajengwa kulingana na malengo ya kitaifa, watu wetu watakua pasipo malengo ya kitaifa na pasipo utaifa.

Naweza kusema itajenga watu wabinafsi wasio na malengo ya kitaifa. Kwa mantiki hiyo haitaweza kuleta matokeo tunayohitaji kama taifa..

Na wala watu wake hawatokuwa na mwelekeo wa pamoja wa kitaifa. Itajenga watu wasio na dira kwa taifa lao.
 
Kama elimu yetu haitajengwa kulingana na malengo ya kitaifa, watu wetu watakua pasipo malengo ya kitaifa na pasipo utaifa.

Naweza kusema itajenga watu wabinafsi wasio na malengo ya kitaifa. Kwa mantiki hiyo haitaweza kuleta matokeo tunayohitaji kama taifa..

Na wala watu wake hawatokuwa na mwelekeo wa pamoja wa kitaifa. Itajenga watu wasio na dira kwa taifa lao.
I am convinced there is only one way to eliminate these grave evils, namely through the establishment of a socialist economy, accompanied by a educational system which would be oriented toward social goals.

Quote hii inaendana vyema kabisa na hiyo ya juu huyo ni albert einsten. Naona alikuwa na maono yanayofanana na yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I am convinced there is only one way to eliminate these grave evils, namely through the establishment of a socialist economy, accompanied by a educational system which would be oriented toward social goals.

Quote hii inaendana vyema kabisa na hiyo ya juu huyo ni albert einsten. Naona alikuwa na maono yanayofanana na yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

What's a socialist economy? Didn't we try it and failed spectacularly?
 
What's a socialist economy? Didn't we try it and failed spectacularly?
What's a socialist economy? Didn't we try it and failed spectacularly?


Ujamaa wa Nyerere tofauti sana na ujamaa anauzungumzia Einsten. Ujamaa wa einsten hauzungumzii kuwanyima watu kumiliki mali au kuwanyima uhuru wao bali kuwafanya watu kuifanya jamii kama ndio primary concern yao na sio ubinafsi wao.

Kuwafanya watu kujua jamii ndio iliyowaunganisha wao na ndio faida zote wanazopata zinatoka humo. kuwafanya watu kwa kuwapa elimu kuelimika na kutumikia jamii zao badala ya kuweka kwanza maslahi yao binafsi. Ana maanisha uchumi ambao uko well regulated ambao utakuwa na faida kwa jamii nzima katika kuondoa umaskini na sio kundi la watu wachache. Na sio ubepari ambao primary concern yao ni Capital no matter inapatikanaje na sio social goals but induvidualistic goals. A well regulated economy ambao malengo yake ni improvement of the whole society.

our greed and our ambitions ambazo wakati wote husambaratisha jamii na kuifanya sio moja tena na kuleta mifarakano elimu hiyo lazima ifanye kazi ku regulate hizi aina za behaviour ili focus ya watu iwe kwenye jamii zaidi not acquision of material things only without concern about society. .

Angalia jamii yetu ilivyo sasa mifarakano katika siasa yote hii na katika jamii haitokani na watu kujengwa katika misingi ya kijamii bali katika kutafuta mali kadiri ya uwezo wa mtu bila kuangalia malengo ya kijamii. Angalia miporomoko ya kijamii. Capitalism imefanya watu waabudu mali sio jamii sio Mungu.

kuwa social au socialism ni kuwa mjamii. Communism au ujamaa ni kitu kingine pengine tutofautishe hili.
 
Ujamaa wa Nyerere tofauti sana na ujamaa anauzungumzia Einsten. Ujamaa wa einsten hauzungumzii kuwanyima watu kumiliki mali au kuwanyima uhuru wao bali kuwafanya watu kuifanya jamii kama ndio primary concern yao na sio ubinafsi wao.

Kuwafanya watu kujua jamii ndio iliyowaunganisha wao na ndio faida zote wanazopata zinatoka humo. kuwafanya watu kwa kuwapa elimu kuelimika na kutumikia jamii zao badala ya kuweka kwanza maslahi yao binafsi. Ana maanisha uchumi ambao uko well regulated ambao utakuwa na faida kwa jamii nzima katika kuondoa umaskini na sio kundi la watu wachache. Na sio ubepari ambao primary concern yao ni Capital no matter inapatikanaje na sio social goals but induvidualistic goals. A well regulated economy ambao malengo yake ni improvement of the whole society.

our greed and our ambitions ambazo wakati wote husambaratisha jamii na kuifanya sio moja tena na kuleta mifarakano elimu hiyo lazima ifanye kazi ku regulate hizi aina za behaviour ili focus ya watu iwe kwenye jamii zaidi not acquision of material things only without concern about society. .

Angalia jamii yetu ilivyo sasa mifarakano katika siasa yote hii na katika jamii haitokani na watu kujengwa katika misingi ya kijamii bali katika kutafuta mali kadiri ya uwezo wa mtu bila kuangalia malengo ya kijamii. Angalia miporomoko ya kijamii. Capitalism imefanya watu waabudu mali sio jamii sio Mungu.

kuwa social au socialism ni kuwa mjamii. Communism au ujamaa ni kitu kingine pengine tutofautishe hili.

Once you grant people individual liberty and freedom to own properties as they wish, you won't have any type of socialist economy. This is because humans are innately selfish. They will put their own interests and preference first.

Now, when it comes to the topic at hand, I believe there are a lot of dynamics that come into play when we talk about education. For example, Tanzanians don't live in isolation. They see what is going on around the world and they will want that piece of the action. So, if you put the national goals at center of your education programs, you will put Tanzanians at disadvantage.

I think you are misguided my friend. Collectively our society wasn't that great in the past. So you can't say capitalism have forced us to forget God. First of all, God is a new concept in our society. So how comes we forget something we didn't have? Be honest with yourself. Our grand parents were forced to worship God and 120 years ago, Christianity and Islam were new religions and their followers were less than 30% of the population. So where did you get the idea that we are forgetting God?

In addition, if you read the history very carefully, you will find out that our nation was founded by very greedy people who are in search of material wealth. Take for example the Arab, Portuguese, Germans, English people. Without these people, you wouldn't have the country you call Tanzania. My point is you have great points, but they exist in your head. In practice we have always worshiped material wealth and there's wrong with that.
 
Once you grant people individual liberty and freedom to own properties as they wish, you won't have any type of socialist economy. This is because humans are innately selfish. They will put their own interests and preference first.

Now, when it comes to the topic at hand, I believe there are a lot of dynamics that come into play when we talk about education. For example, Tanzanians don't live in isolation. They see what is going on around the world and they will want that piece of the action. So, if you put the national goals at center of your education programs, you will put Tanzanians at disadvantage.

I think you are misguided my friend. Collectively our society wasn't that great in the past. So you can't say capitalism have forced us to forget God. First of all, God is a new concept in our society. So how comes we forget something we didn't have? Be honest with yourself. Our grand parents were forced to worship God and 120 years ago, Christianity and Islam were new religions and their followers were less than 30% of the population. So where did you get the idea that we are forgetting God?

In addition, if you read the history very carefully, you will find out that our nation was founded by very greedy people who are in search of material wealth. Take for example the Arab, Portuguese, Germans, English people. Without these people, you wouldn't have the country you call Tanzania. My point is you have great points, but they exist in your head. In practice we have always worshiped material wealth and there's wrong with that.
Give me power and you will see if these things will not materialize. I believe in economy which is regulated by government to suit national agenda. I hate induvidualism. Alafu nashangaa kuna ubaya gani watu ku serve taifa lao badala ya ubinafsi wao? Again hata uhuru inabidi uwe regulated there is no such thing as absolutely liberty when you live in society kuna social responsibilities. Umoja wa nchi inahitaji watu kutoa ubinafsi wao na tunajua bila ya hilo hatuwezi kufanikiwa pakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Give me power and you will see if these things will not materialize. I believe in economy which is regulated by government to suit national agenda. I hate induvidualism. Alafu nashangaa kuna ubaya gani watu ku serve taifa lao badala ya ubinafsi wao? Again hata uhuru inabidi uwe regulated there is no such thing as absolutely liberty when you live in society kuna social responsibilities. Umoja wa nchi inahitaji watu kutoa ubinafsi wao na tunajua bila ya hilo hatuwezi kufanikiwa pakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Your ideas are flawed. If you want to regulate the economy, what will set you apart from other communists and wajamaa? They tried exact the same thing and failed in big numbers.

You say you hate individualism, but here is the thing. You haven't done anything which justifies that you aren't an individualistic person. What's more, there's nothing wrong to pursue individual interests. Tell me. Did you marry an ugly woman? Tell me didn't you study very hard to be the first in your class?

In every society or nation, there are common interests or common goods. For example, society will need hospitals, roads, schools, military, sports teams etc etc. These are things that keep us together. They keep us together in a capitalist system or a socialistic one. And what's more, humans have identified set of ideas that keep them together for centuries. So there's nothing new in your posts.
 
Your ideas are flawed. If you want to regulate the economy, what will set you apart from other communists and wajamaa? They tried exact the same thing and failed in big numbers.

You say you hate individualism, but here is the thing. You haven't done anything which justifies that you aren't an individualistic person. What's more, there's nothing wrong to pursue individual interests. Tell me. Did you marry an ugly woman? Tell me didn't you study very hard to be the first in your class?

In every society or nation, there are common interests or common goods. For example, society will need hospitals, roads, schools, military, sports teams etc etc. These are things that keep us together. They keep us together in a capitalist system or a socialistic one. And what's more, humans have identified set of ideas that keep them together for centuries. So there's nothing new in your posts.

Are you sure kwamba siku hizi watu wanaenda jeshini kuserve nchi? Kuna mapenzi hayo kweli? Na hizo kada nyingine ulizotaja? Unataka kuniambia watu wetu kwa mfano wanaocheza timu za taifa wanacheza kwavile wanalipenda taifa lao au hao madaktari na manesi au walimu wanafanya hivyo kwa mapenzi ya taifa?

Wanaenda kusoma shule za serikali wanaenda kwa kupenda au kwa kukosa kwenda sehemu bora? Unataka kusema huko kwenye shule zisizo bora ndio panapotuunganisha na kutengwa pia za zike shule private ambazo ni bora sio?

Do we have that kind of love now days?

Unataka kujifanya kipofu kuwa utaifa na uzalendo umeshuka na hata umoja wa nchi? Unajifanya kipofu?

Unaishi wapi uko tz kweli? Unajifanya hujui kwamba mapenzi kwa jamii yameshuka watu hawajali tena jamii bali induvidual interests?

Even focus ya viongozi wetu sio 100% kwa wananchi. Hizi shule na hospitali unajua hali zake? Ukweli ni kwamba hatujali jamii zetu wala taifa letu.

Unataka kuniambia our primary focus kwa watu wetu right now ni ukuaji wa jamii zao na taifa? Do we have that devotion?

Ninaposema elimu iliyounganishwa na malengo ya kitaifa kuwafanya watu walipende na kulitumikia taifa lao kuna ubaya gani? Kuwafanya wazalendo watu wetu kuna ubaya gani?

Naomba nikuulize kwanini taifa husomesha watu wake? Kwanini inawapa elimu? Wanawapa elimu ili iwaje? Kama hakuna malengo ya kitaifa yanayoambatana na hiyo elimu? Ni nini wajibu wa mtu kwa taifa lake? Je tunawajibu kwa maisha yetu binafsi na sio yale ya kitaifa? Unajua hii nchi right now inazalisha vijana wa namna gani? Ambao hawana malengo ya kitaifa.

I do believe we need more devotion to our country and we will not succeed without that devotion. Ninaposema serikali ku regulate uchumi ni kutoruhusu ulafi na kujenga mazingira ya usawa na haki.

Do you believe tunaweza kujenga jamii bora watu wakiwa wabinafsi? Tutafika huko tunakotaka kufika na kuondoa umaskini na kulifanya taifa hili lijitegemee kama watu wetu hawajawa aligned na malengo ya kitaifa? Je ikiwa akili zao zikiwa zimetawanyika kwenye ubinafsi tutakuwa na focus kwenye utaifa?

I am not here to make empty argument. Bali kutafuta njia itakayotufanya twende mbele kama taifa hiyo ndio kiu yangu. Anything beneficial i will always accept.

Niambie njia ambayo tunapaswa kupitia kulitoa taifa hapa lilipo kutoka kwenye umaskini, ujinga na maradhi na kulifanya lijitegemee. We need a glory. We need respect.

Give me a way forward to get these things. Give me a plan of action. Tell me! How can we get out of poverty and dishonour.

Niambie tunawezaje kuwafanya watu wetu kuwa more intelligent and more wise so that we can achieve great things in this world and make history. Niambie! If you see there is no problem in this country utakuwa waajabu.

Angalia kwenye vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo vinavyo serve induvidual interests na groups interests. You don't see that tumegawanyika, na kugawanyika kwetu ndio kunako tuzuia kwenda mbele? Au huamini kwamba vyombo vya habari vinatakiwa ku serve national interests. Na vinatakiwa kuwa regulated to suit national agenda? Au unataka watoto wetu wakue bila mission yoyote ya kitaifa but pursuing only their selfish interest? Is that the best way to live as society?

Again you attack me with no reason. Sijasema mawazo yangu ni mapya. So I wonder why you attack me.

We can build no great country without a self regulation. This self regulation help us to act justly.

We must regulate our greed and our ambitions to serve great good of our country and our society. Ama sivyo tujitayarishe kubomoa jamii zetu na nchi yetu. To put society first before our induvidual self, I think is the best we can do.

Katika maandiko yangu mengi nimejaribu kuelezea mambo haya mengi kwa kina. Mengi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
8
 
Are you sure kwamba siku hizi watu wanaenda jeshini kuserve nchi? Kuna mapenzi hayo kweli? Na hizo kada nyingine ulizotaja? Unataka kuniambia watu wetu kwa mfano wanaocheza timu za taifa wanacheza kwavile wanalipenda taifa lao au hao madaktari na manesi au walimu wanafanya hivyo kwa mapenzi ya taifa?

Wanaenda kusoma shule za serikali wanaenda kwa kupenda au kwa kukosa kwenda sehemu bora? Unataka kusema huko kwenye shule zisizo bora ndio panapotuunganisha na kutengwa pia za zike shule private ambazo ni bora sio?

Do we have that kind of love now days?

Unataka kujifanya kipofu kuwa utaifa na uzalendo umeshuka na hata umoja wa nchi? Unajifanya kipofu?

Unaishi wapi uko tz kweli? Unajifanya hujui kwamba mapenzi kwa jamii yameshuka watu hawajali tena jamii bali induvidual interests?

Even focus ya viongozi wetu sio 100% kwa wananchi. Hizi shule na hospitali unajua hali zake? Ukweli ni kwamba hatujali jamii zetu wala taifa letu.

Unataka kuniambia our primary focus kwa watu wetu right now ni ukuaji wa jamii zao na taifa? Do we have that devotion?

Ninaposema elimu iliyounganishwa na malengo ya kitaifa kuwafanya watu walipende na kulitumikia taifa lao kuna ubaya gani? Kuwafanya wazalendo watu wetu kuna ubaya gani?

Naomba nikuulize kwanini taifa husomesha watu wake? Kwanini inawapa elimu? Wanawapa elimu ili iwaje? Kama hakuna malengo ya kitaifa yanayoambatana na hiyo elimu? Ni nini wajibu wa mtu kwa taifa lake? Je tunawajibu kwa maisha yetu binafsi na sio yale ya kitaifa? Unajua hii nchi right now inazalisha vijana wa namna gani? Ambao hawana malengo ya kitaifa.

I do believe we need more devotion to our country and we will not succeed without that devotion. Ninaposema serikali ku regulate uchumi ni kutoruhusu ulafi na kujenga mazingira ya usawa na haki.

Do you believe tunaweza kujenga jamii bora watu wakiwa wabinafsi? Tutafika huko tunakotaka kufika na kuondoa umaskini na kulifanya taifa hili lijitegemee kama watu wetu hawajawa aligned na malengo ya kitaifa? Je ikiwa akili zao zikiwa zimetawanyika kwenye ubinafsi tutakuwa na focus kwenye utaifa?

I am not here to make empty argument. Bali kutafuta njia itakayotufanya twende mbele kama taifa hiyo ndio kiu yangu. Anything beneficial i will always accept.

Niambie njia ambayo tunapaswa kupitia kulitoa taifa hapa lilipo kutoka kwenye umaskini, ujinga na maradhi na kulifanya lijitegemee. We need a glory. We need respect.

Give me a way forward to get these things. Give me a plan of action. Tell me! How can we get out of poverty and dishonour.

Niambie tunawezaje kuwafanya watu wetu kuwa more intelligent and more wise so that we can achieve great things in this world and make history. Niambie! If you see there is no problem in this country utakuwa waajabu.

Angalia kwenye vyombo vyetu vya habari. Ni vyombo vinavyo serve induvidual interests na groups interests. You don't see that tumegawanyika, na kugawanyika kwetu ndio kunako tuzuia kwenda mbele? Au huamini kwamba vyombo vya habari vinatakiwa ku serve national interests. Na vinatakiwa kuwa regulated to suit national agenda? Au unataka watoto wetu wakue bila mission yoyote ya kitaifa but pursuing only their selfish interest? Is that the best way to live as society?

Again you attack me with no reason. Sijasema mawazo yangu ni mapya. So I wonder why you attack me.

Sent using Jamii Forums mobile app
8

I am not here to attack you sir. What I do is to challenge your premises. It seems you love your country. It seems you have the idea where the country should be headed. What you do is a good thing and I recommend you for that. However, you have the notation that we had a wonderful country in the past and now everything is destroyed because we have decided to follow capitalism.

This notation isn't true. Tanzania didn't have a wonderful past. Tanzania didn't have good schools. It didn't have good hospitals. It didn't have good road or the military. Certainly, as a nation, we have tried to put some efforts to build a modern state. But it's abundantly clear that our efforts leave a lot to be desired as we haven't accomplish anything worth talking. This is something both of us can sit together and discuss.

Now if you ask me what should be done so everybody could contribute and serve the country to the best of his abilities? I will tell you this. We should respect the division of labor. If you are a teacher. Respect your profession and make sure that the society pays you back what you deserve. If you are a medical doctor, make sure you fulfill your duties and receive the compensation that can cover your needs and then some. In other words, your contribution to the well being of the society, should at least match or approach what you receive in return.

National building isn't an animal farm. So forget the saying All animals are equal, but some animals are more equal than others.
 
I am not here to attack you sir. What I do is to challenge your premises. It seems you love your country. It seems you have the idea where the country should be headed. What you do is a good thing and I recommend you for that. However, you have the notation that we had a wonderful country in the past and now everything is destroyed because we have decided to follow capitalism.

This notation isn't true. Tanzania didn't have a wonderful past. Tanzania didn't have good schools. It didn't have good hospitals. It didn't have good road or the military. Certainly, as a nation, we have tried to put some efforts to build a modern state. But it's abundantly clear that our efforts leave a lot to be desired as we haven't accomplish anything worth talking. This is something both of us can sit together and discuss.

Now if you ask me what should be done so everybody could contribute and serve the country to the best of his abilities? I will tell you this. We should respect the division of labor. If you are a teacher. Respect your profession and make sure that the society pays you back what you deserve. If you are a medical doctor, make sure you fulfill your duties and receive the compensation that can cover your needs and then some. In other words, your contribution to the well being of the society, should at least match or approach what you receive in return.

National building isn't an animal farm. So forget the saying All animals are equal, but some animals are more equal than others.

The problem is politics of this country. I hate politics of this country. I want people who come with plan. To get alot of people out of poverty. I believe if we sit together, we can do this. I see the problem! Selfishness. It has been a problem for a very longtime. Now it is the time to sit together and plan for future. We have to find the best way to lead this country. Not neccessary socialism anything which will help us to come out of poverty and build better society. I think that is the mission.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The problem is politics of this country. I hate politics of this country. I want people who come with plan. To get alot of people out of poverty. I believe if we sit together, we can do this. I see the problem! Selfishness. It has been a problem for a very longtime. Now it is the time to sit together and plan for future. We have to find the best way to lead this country. Not neccessary socialism anything which will help us to come out of poverty and build better society. I think that is the mission.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jesus started with 12 people. Do you know how many people believe his message today? Probably a half of the world population or even more. My point is once we got our independence, the only way we know to spread our message is to find a way to climb to the mountain top with a megaphone and shout so other could follow. Why don't you start from the bottom?
 
Okay. Time will come.
Jesus started with 12 people. Do you know how many people believe his message today? Probably a half of the world population or even more. My point is once we got our independence, the only way we know to spread our message is to find a way to climb to the mountain top with a megaphone and shout so other could follow. Why don't you start from the bottom?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom