Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,653
Kama elimu yetu haitajengwa kulingana na malengo ya kitaifa, watu wetu watakua pasipo malengo ya kitaifa na pasipo utaifa.
Naweza kusema itajenga watu wabinafsi wasio na malengo ya kitaifa. Kwa mantiki hiyo haitaweza kuleta matokeo tunayohitaji kama taifa..
Na wala watu wake hawatokuwa na mwelekeo wa pamoja wa kitaifa. Itajenga watu wasio na dira kwa taifa lao.
Naweza kusema itajenga watu wabinafsi wasio na malengo ya kitaifa. Kwa mantiki hiyo haitaweza kuleta matokeo tunayohitaji kama taifa..
Na wala watu wake hawatokuwa na mwelekeo wa pamoja wa kitaifa. Itajenga watu wasio na dira kwa taifa lao.