thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,456
- 1,436
Ngoja wenye viba100 wajeGuys hii kitu nimeitoa Instagram kwa kaka yangu @pharm_Solomon so ni vyema tukajifunza pia..
Jamii yetu imejaa vimbwanga sana kipindi hichi na wengine wanatamani kuwa na maumbile makubwa kisa kutaka kumridhisha mwanamke jamani tujiamini wanaume...halafu uanze kujipima ujue uume wako ni size gani ili ujitambue.,.
Maelezo utayapata kwenye picha hapa....View attachment 1202717View attachment 1202718
kivipi mkuu?Kuna Watu Wanatapatapa Aisee
Hapana iseeKwani ukubwa wa pua ndo wingi wa kamasi....nauliza tu
Ukimjua mwanamke vizuri huwezi kuhangaika na ukubwa/udogo wa uume. Hisia za mwanamke ziko kwenye mashavu ya 'k'. Kichwa 'glans' cha uume kinatosha kumpagawisha mwanamke. Tafuta 'G spot ', kuna kitaalam, ......
Hapana isee
Vizuri
No nne sio kweliNaongezea haya
1.Wanaume wenye matege ya nje( kama o) wana mashine ndefu na nyembamba
2.Wanaume wenye vitambi hawa wengi wana vibamia
3. Wanaume wenye vidole vinene hasa dole gumba machine zao ni nene halafu fupi
4. wanaume warefu kila kitu chao ni kirefu
Niishie hapo kesho ntaongezea kwa wenzetu waleeeeee
Sio kila mzungu mjini ni padreWanaume tunaojua show hata kama tunakibamia lakini show tunaisimamia na mtoto anakojoa mpaka anasema ahsante baby!!!! Cha msingi kujiamini tu na maufundi ya kutosha
Shida watu wanafikra tofauti....ambazo zimetawaliwa na mambo ya mtandaoni hasa kutaka kujaribu kuona itakuaje wakati uwezo wake mdogo
Isee hatar sanaSio kila mzungu mjini ni padre
Kati ya zote hizo hiyo ya nne tu ndo ina walakini?No nne sio kweli