Napenda kuchukua nafasi hii kutoa elimu kuhusiana na hii course ya computer engineering maana ninaona wengi humu JamiiForums na hata wanafunzi wanaosoma hawaielewi na wanaichanganya na IT, COMPUTER SCIENCE.
Computer engineering ni zao la electrical engineering pamoja na computer science. Hivyo basi katika computer engineering vitu vifuatavyo husomwa. Electronics, automation, programming, network, instrumentation, control systems, communication systems etc.
Sasa kuna watu pia hata wanafunzi wanaosoma wanajua computer engineering ni kutengeneza computers ambacho sio kweli, wao wanadeal na how electronics inaunganishwa na programming pamoja na knowledges za computer.
Nawasilisha, mwenye swali lolote aulize nipo kwa kujibu.
Computer engineering ni zao la electrical engineering pamoja na computer science. Hivyo basi katika computer engineering vitu vifuatavyo husomwa. Electronics, automation, programming, network, instrumentation, control systems, communication systems etc.
Sasa kuna watu pia hata wanafunzi wanaosoma wanajua computer engineering ni kutengeneza computers ambacho sio kweli, wao wanadeal na how electronics inaunganishwa na programming pamoja na knowledges za computer.
Nawasilisha, mwenye swali lolote aulize nipo kwa kujibu.