Elimu juu ya CV na Best cover letter

Dajaden112

New Member
Mar 25, 2021
4
0
Wadau wa jukwaa la elimu, habarini

Naomba msaada wa Best cover letter maana imefikia hatua naona kama labda approach ya barua zangu za maombi ya kazi au CV ndo zinashida. Natuma maombi 10 ila kuitwa interview ni 1 ya 10. Napata changamoto sana.

Naombeni msaada wenu.
 
Utafahama namna ya kuandika barua nzuri ya kikazi, kuandika CV(hapa utaelewa aina tofaut za CV) pamoja na Interview
 
Wadau wa jukwaa la elimu, habarini

Naomba msaada wa Best cover letter maana imefikia hatua naona kama labda approach ya barua zangu za maombi ya kazi au CV ndo zinashida. Natuma maombi 10 ila kuitwa interview ni 1 ya 10. Napata changamoto sana.

Naombeni msaada wenu.
Kuitwa interview 1 ya 10, ni uko vizuri tu
Nitarudi......
 
PAGEPATROL

Pagepatrol Tunatoa huduma za Editing, Proofreading And Translations.

Editing and proofreading in terms of.
Research
paper,Journals,Thesis,Articles, contract,Essay writings etc.

Translation in terms of;
Germany, English,French and Swahili.

Gharama zetu ni kwa bei nafuu Sana.

Editing and proofreading @ page Tzshs1000/=

Translation @ page Tshs 10,000/=

Pia Tunatoa huduma za kuandika

Barua za aina zote Kama vile
Application letter, scholarship letters etc. Kwa gharama nafuu kabisa Tshs 15,000/=

Pia Tunatoa huduma za kuandika CV kwa gharama nafuu Kabisa 20,000/=

Tunapatikana :

Chuo Cha CBE dar es salaam
Bibi titi Road
Kituo Akiba ( unapita mnazi mmoja )
Tupo Mkabala na chuo cha DIT

Kwa mawasiliano

WhatsApp 0767316144

Telephone no: 0714316144/0784507548

Karibuni Sana wote mnakaribishwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom