TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,434
- 3,553
Kuna huu utaratibu wa watu kujiita Dokta flani wakati ana kadegree ama amjetihadi sana masters mpechempeche kisa tu ni kiongozi ni upuuzi.
Hivi hawa wanajua joto wanalopitia watu wa PhD mpaka wakatunukiwa ?,halafu wao hakuna hata chochote cha maana walichokifanya ghafla wanajiita Dr.
Huu upuuzi ukiendelea Kuna watu wataanza kujivika degree kiholela.
Nikuinajisi elimu na jitihada za wasomi halisia
Hivi hawa wanajua joto wanalopitia watu wa PhD mpaka wakatunukiwa ?,halafu wao hakuna hata chochote cha maana walichokifanya ghafla wanajiita Dr.
Huu upuuzi ukiendelea Kuna watu wataanza kujivika degree kiholela.
Nikuinajisi elimu na jitihada za wasomi halisia