Elimu bure

Elimu bure

fasepa man

Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
10
Reaction score
7
Ndo kama hivyo watanzania wenzangu
FB_IMG_15346524420320443.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laiti ingekuwa viongozi wanasimamia hasa maendeleo ipasavyo sidhani kama kungekuwa na darasa kama hilo tena la watoto wadogo wanaopaswa kuwekewa miundombinu na mazingira rafiki na ya kuvutia .lmagine tangu nchi imepata uhuru zaidi ya miaka 50 iliyopita.

Tuna kazi ya ziada kwakweli
 
Hovi wazazi wao wameshindwa hata kuwachongea mabenchi ya mbao moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom